Raha ya kupanda daladala

Raha ya kupanda daladala

Kuna jamaa alikuwa mshkaji wangu sana kazini.na ndie alinifanyia cross nikaingia hapo kazini.
Huyu jamaa alikuwa na roho ambayo ni wanadam wachache sana wanazo.
Alinisaidia sana tena sana!
Baadae akapangiwa uhamisho sehem na pale nilipobaki mi akaletwa mwingine.
Yule mshkaji akawa ana hang baada ya uhamisho kuahirishwa!
Duuhh jamaa alipata tabu afu nilikuwa napata hela sana nikawa simkumbuki wala kumpa hata mia.lakini moyo ukawa unanisuta sana kuacha kumsaidia huyu jamaa hadi nikawa namuota!
Akapata ajali ya pikipiki nikaenda mara moja tu kumchek sikurudi tena mbali na kunisaidia kuliko chchote.
Siku ya siku si nikapunguzwa kazi tena nikarudi kitaa.maisha yakaanza kunicharaza sasa.
Jamaa akapona akapata kazi nzuri kuliko ile ya mwanzo lakini je nitamuombaje anisaidie ilhali nilimtenga flani??!!
Nikaamua kufa na tai shingoni.
Jamaa ilivyotokea gepu tu chapu akaniita akaniingiza tena kwenye hiyo kampuni aliyokuwapo!
Kuna siku nimelewa nikaanza kulia huku namuomba msamaha km nilishamkosea.
Jamaa ananiambia haya ni maisha tu usiyawaze!hadi leo nimejifunza na nna adabu nasalimia hadi watoto shikamoo
 
Jana Jumapili ilikuwa siku ya kazi kwa sisi wengine. Niliamua kupanda basi kwa usumbufu wa parking na si kuwa na safari nyingine zaidi ya kazi na kurudi nyumbani.


Huna haja ya ku justify kwa nini ulipanda dala dala, hakuna anaejali.
 
Mimi ni Mkristo na msomaji mzuri sana wa Biblia; moja kati ya dalili za kuja kwa Bwana Yesu tena ni hi (na aliisema yeye mwenyewe Yesu), "Kwasababu ya kuongezeka maasi mengi na UPENDO wa wengi utapoa" yaani sababu kubwa ya Upendo wa wengi kupoa ni, maasi mengi kuongezeka" Mpe pole sana shosti wako, ndio dunia hi. Kwa mbaali, I can smell fish on why she was divorced, huyu ana tabia mbaya tu hadi kwa mumewe. Point to learn, if a woman is not a wife material then atakua pia ana lack a lot of things
 
kwa hiyo safari yako haukuenda?? halafu jpili huwa hakuna shida ya parking hata iweje ,kama ni hivyo katikati ya wiki inakuwaje??? sema ulikuwa huna hela ya mafuta au gari huna...JF bwana kila mtu ana gari...
 
Wema wakati mwengine una pelekea majanga. Hadi huzuni nimekuwa kauzu hadi familia INA nishangaa binafsi ime ghalimu sana
 
sasa umeandika nn Mara daladala Mara Tenda wema ..Kiufupi ...bangi sio nzur.....waachen wavute wachache wengine atuiwezi.
 
Baada ya miaka miwili ndo Dada anagundua kuwa biashara ya guest mkoani hailipi kama Dar?! ilikuwa haki yake kutapeliwa..
 
Kuna jamaa alikuwa mshkaji wangu sana kazini.na ndie alinifanyia cross nikaingia hapo kazini.
Huyu jamaa alikuwa na roho ambayo ni wanadam wachache sana wanazo.
Alinisaidia sana tena sana!
Baadae akapangiwa uhamisho sehem na pale nilipobaki mi akaletwa mwingine.
Yule mshkaji akawa ana hang baada ya uhamisho kuahirishwa!
Duuhh jamaa alipata tabu afu nilikuwa napata hela sana nikawa simkumbuki wala kumpa hata mia.lakini moyo ukawa unanisuta sana kuacha kumsaidia huyu jamaa hadi nikawa namuota!
Akapata ajali ya pikipiki nikaenda mara moja tu kumchek sikurudi tena mbali na kunisaidia kuliko chchote.
Siku ya siku si nikapunguzwa kazi tena nikarudi kitaa.maisha yakaanza kunicharaza sasa.
Jamaa akapona akapata kazi nzuri kuliko ile ya mwanzo lakini je nitamuombaje anisaidie ilhali nilimtenga flani??!!
Nikaamua kufa na tai shingoni.
Jamaa ilivyotokea gepu tu chapu akaniita akaniingiza tena kwenye hiyo kampuni aliyokuwapo!
Kuna siku nimelewa nikaanza kulia huku namuomba msamaha km nilishamkosea.
Jamaa ananiambia haya ni maisha tu usiyawaze!hadi leo nimejifunza na nna adabu nasalimia hadi watoto shikamoo
Omba msamaha ukiwa huna pombe
 
Back
Top Bottom