Recent content by Eidj5

  1. Eidj5

    Naomba kujua kuhusu kozi ya procurement and supply

    Hata ACC pia ni gombania goli siku hizii,nina jamaa zangu wengi tu wamemaliza o'level tu na wana matokeo ya kawaida sana hata credit hawana, wameunga unga kozi ya uhasibu kutokea cheti,wengine walianza na ATEC I mpaka sasa hivi ni CPA holders ingawa wamepitia changamoto za ugumu wa hiyo...
  2. Eidj5

    Usidanganyike: Hakuna malaika anayekuja kutoa roho yako, dead man knows nothing

    kuna mijitu imepita zama hizo ilikuwa mibishi na viburi kuliko wewe,alafu utakuwa wewe kamtu kadogo dogo tu ukiumwa malaria macho yanakutoka umeshiba wali na maharagwe kisha unakuja kupinga kuhusu malaika mtoa roho,subiri utamuelewa vizuri safari yako itapokuwa imefika,kikubwa kinachokupa jeuri...
  3. Eidj5

    Haya kwa wale wanaotaka kwenda kuishi amerika na kuapata green card Uraia wa Amerika

    . Kuna kile kipengele cha minimum education level,naomba mnifahamishe,wamesema vocational and equivalent qualifications are not acceptable,inamaana kwa mm ambaye nina CPA YANGU NA TANGU CERTIFICATE NIMESOMA NBAA MPAKA CPA SIWEZI KUOMBA HII KITU,manake yangu mm ni equivalent...
  4. Eidj5

    Nakushauri usioe

    Nimewahi siti number one.
  5. Eidj5

    Ni kifungu gani kinamlazimisha mwanaume wa kikristo kuwa na mke mmoja?

    Wakristo wengi wengi wanajifanya mke ni mmoja wa kufa na kuzikana lkn huko nje wanamakoloni kibao ambayo washazalisha na kuyazalisha sijui ndo nini sasa
  6. Eidj5

    Mnijuze Kuhusu mtandao wa manunuzi wa Kikuu

    hiyo ni kweli huwa hazikai na moto hii ni kutokana na zile simu ni mitumba,kama unataka kuenjoy unapopata simu nenda kabadilishe battery,mm nilifanya hiyo as HV kiasi ipo vizuri.
  7. Eidj5

    Mnijuze Kuhusu mtandao wa manunuzi wa Kikuu

    hiyo ni kweli huwa hazikai na moto hii ni kutokana na zile simu ni mitumba,kama unataka kuenjoy unapopata simu nenda kabadilishe battery,mm nilifanya hiyo as HV kiasi ipo vizuri.
  8. Eidj5

    Mnijuze Kuhusu mtandao wa manunuzi wa Kikuu

    Nimeagiza vitu vingi sana huwa wananiletea kazini,ikiwemo simu mbili zote I phone 5
  9. Eidj5

    Sitaomba kazi tena, wacha niwe jeuri tu!!

    Unafeli sana broooo.
  10. Eidj5

    NO MO SALAH NO ROBERTO FILMINO .

    Naipenda sana liverpool fc chama langu,lakini kwa yale magoli tuloruhusu kule Spain,ni mengi sana,hata kama wachezaji wote wangekuwa fit kuwatoa Barcelona bado ingekuwa ngumu. Hapo cha muhimu kesho timu ikapambane tu hivyo hivyo ila isijisahau sana manake tunaweza dhalilishwa palepale na hiko...
  11. Eidj5

    Nafanyaje mume mpole hadi kitandani

    Yeah kuwa mvumilivu ktk hilo na uongee nae vizuri
Back
Top Bottom