unaongea too technical,waweken watu wazi kua kampuni ikipata hasara hata miaka mi5 mfululizo bas hata na gawio kwa kipindi hicho chote hakuna.Mbona hicho hukizungumzii?eleza yote faida ni zipi 1,2,3 ....6,7 na hasara ni hizi 1,2,3,4,5,.....10 then mwananchi yeye ndio ataamua anunue au...