Hii taarifa ya wewe kuuza ma bandle, makampuni husika ya simu wana taarifa nayo? Kwa maana TIGO , VODA HALOTEL wako humu na wana ona unachokifanya je kama hawana taarifa hawawezi zuia mchakato?
Habarini wana forum,
Mimi ni mfanyabiashara. Nipo kwenye kundi la wafanyabiashara wadogo kwani nina duka linauza vifaa vya umeme, hasa umeme wa solar. Ninauza battery ya solar, solar panels, lantern, taa, nyaya, Radio na TV zinazotumia umeme wa solar, pasi za solar, na vifaa vingine vya umeme...
Wanazingua, unaweza kuingilia system... Nenda ka hack Voda au Tigo chukua mitonyo m-pesa au Tigo pesa then kafanye bussness. Ka hack NMB iba mitonyo.. Unapambana ili uajiriwe. Ajira ni udwanzi tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.