Nauza mashine ya kutengeneza chaki

Nauza mashine ya kutengeneza chaki

Gypsum inauzwa kwenye maduka ya vifaa vya ujenzi Chillah

Sent using Jamii Forums mobile app
Gypsum mfuko mmoja natoa chaki makasha mangapi?
Natumia gypsum na nini kingine?
Bei ya jumla kasha moja sh ngapi?
Vifungashio (makasha matupu) gharama zake zikoje?
Tunauliza sana tusikalie, si wajua huu muda mambo ni mbanano kweli... kama inalipa tukope pesa tule mradi
 
HATUA YA KWANZA
Chukua chokaa kilo moja iliyochekechwa na kupata unga ulio safi,maji lita moja,rangi 10mls.Changanya mchanganyiko huu kwa pamoja upate uji mzito na ukoroge kwa dakika kumi na tano.

HATUA YA PILI.
Weka mchanganyiko wako katika maumbo yako ya vibox au bati ambazo zimekatwa katika shape unayoitaka.
Weka juani chaki zako mpaka zikauke.

Zitoe kwenye maumbo uziweke jikoni na kuzichoma kama unavyochoma matofari au vyungu mpaka ukiishika uone inatoa vumbi na ukiidondosha ikatike vipande viwili au zaidi.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninazo tatu za size na aina ni moja. Pamoja na kufanya hii biashara nina mirad mingine nasimamia. Sasa mashine kukaa bila kufanya kazi ni hasara bora niuze moja nikuze production kwa kununua material mengi zaidi lakin pia nina shida imenibana ndio mana naiuza pia

Sent using Jamii Forums mobile app
mashine bado ipo?
kama ipo nahitaji nipo Mazimbu Morogoro
nipe namba yako ya simu tuwasiliane
 
Maboksi yakupaki hizo chaki unayotoa wapi? Hebu dadavua hili.
Pia boksi moja unauza shs ngapi?linakaa chaki ngapi?
 
Maboksi yakupaki hizo chaki unayotoa wapi? Hebu dadavua hili.
Pia boksi moja unauza shs ngapi?linakaa chaki ngapi?
Box zinapatikana jamana....box moja inakaa chaki 100..ambayo ukiweka kwa caton zinakua 30 kwenye caton 1...
 
Mi pia naihitaji hiyo machine ya chaki 0620639519
Machine za chalk uende sido yoyote iliyopo katika mkoa wako..Tena sido utapewa na mafunzo ya utengenezaji na jinsi ya kuitumia machine yako..Bei zao ni tsh 2m..hua zinatobo 400.
 
Mashine hiyo katika ubora wake nimependa kwani matundu yake yako mengi sana kama Kuna atakaye bahatika kununua baasi Nampa hongera maana kama yangu ina matundu 200 tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom