Afande Sele amtukana matusi mazito Sugu

Siku hizi vichaa wanasema ukweli. Na msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Mkuu ni kweli vichaa.. watoto na walevi wanasema ukweli.... kwahiyo msema kweli ni Mpenzi wa Mungu na pepo hii hapa keshaipata.
 
Ila ukweli unaumaga sana sijui kwanini. Ha haaa ila afande sele nae apunguze bange
 
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.

Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.

Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
Loosers wengi mara nyingi wako hivyo, hawana shukurani, kila wakati kulalamika na kutafuta mchawi wa udhaifu wao, hana jipya sele mabangi, uraibu umemdhuru
 
lakini amesema ukweli au uongo? kipi cha uongo hapo?
Mtu ambaye anaweza kutenga muda wake kujaridi kimo cha mtu mwingine, si tu anakuwa hana busara bali ni mpumbavu wa kiwango cha lami. Afande sele amekuwa na tabia za kike sana inashangaza alivyoweza kuibadirika ndani ya muda mfupi na kuwa katika kundi moja na akina Gigi money. Sikuwahi kufikiria kuwa itafikia siku afande yule wa mkuki moyoni, darubini kali, heshima, mtazamo anaweza siku moja kuwa katika kundi la akina ambalulu....
 
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.

Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.

Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili

Kama kweli Afande amemtukana Sugu basi amekosea sana. Ni ujinga, utoto and above all, ni wivu wa kike.
Jamani hatuwezi wote kuwa wabunge. Du.. Afande Sele ndio leo wa kujipendekeza kwa Jiwe?
Anatia aibu 'masela' wenzake...
 
Afande kasema sugu ni mfupi,ana sura mbaya,mweusi,aliachwa na faiza,amepata mtoto uzeeni.

Mpaka kamuhusisha na marehemu mama yake sugu,afande wewe sugu ndo alikutoa kimuziki lakini mwisho wa yote wananchi wa morogoro sio wapumbavu kiasi hicho wakupe ubunge afande sele,hata huyo magu ambaye unajipendekeza kwake hawezi akakupa hata uenyekiti wa mtaa.

Afande sele ndo anayesababisha wavuta bangi tuonekane hatuna akili
hahahaaa afande sele ndio ana sababisha nini ""? aisee Jf bwana hahaaa
 
dah jamaa latudhalilisha sana wavuta bangi. Tumeonekana watu wa ovyo kabisa
 
IMG_20180906_233427_489.JPG
IMG_20180906_235540_040.JPG
IMG_20180906_233555_989.JPG
IMG_20180906_233612_679.JPG
IMG_20180906_233427_489.JPG
 
Mwambieni huyu selemani msindi aache bange. Ipo siku atavaa chupi kichwani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom