Yanga wanaongoza kila kitu kulia wakishafungwa! Kufia uwanjani wakifungwa! Cha muhimu leo washabiki wa yanga wasikae mbali na vyoo! Leo hawalii wala hawafi lakini watakwenda sana chooni! Homa za matumbo!!
Nenda kapime kama ushahidi tu! Si uhakika kwamba umeambukizwa! Na hizo dalili unazokuwa unahisi zinakutokea ni woga wako tu! Ndo inapelekea uone kama tayari una maradhi! Mjomba uwe na imani!
Huyo jamaa bado ana roho nyingi kwa maana ya kuwa na wapenzi wengi! Bado ana tamaa ya fisi! Biashara gani hadi anaenda na simu bafuni!! Tafakari chukua hatua!!!
Halafu Bahati Bukuku ni muimbaji mzuri sana wa nyimbo za injili! Yaani anaimba ametulia,ujumbe unafika vizuri! Lakini ile cream usoni anazidisha ni hatari..
..! Inaboa kwa kweli mimi shabiki wake no.1 lakini apunguze kujikoboa!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.