Boniphace Bembele Ng'wita
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 3,533
- 1,936
Wakuu nayahitaji hayo matokeo sana maana kunawatu hum wameahidi kutembea uchi, sasa cjui kama familia wanajua au ntamko lako mwenyewe, angalia wasikupeleke milembe!
mcc yao nepi hawawezi kuwatunishia msuli wazee wa mji kama yanga. Kama hawajafungwa, historia yao inakoma leo. Hii round siyo ya mchezo! Nawaomba wana-yanga tusiwapige mawe kama wao walivyotupiga bali tuwapige bao za kutosha >2.
Yanga 1 Mbeya city 3 mpaka sasa
mpira dakika 90, 2subir 2one kama mbeya city watafanya kile walichosema kwenye vyombo vya habari
mbeya city tutawafundisha soka leo...hawa wanyalu leo watapokea mvua nyingi sana
hata ndoto zinaruhusiwa......ila kuota mchana kubaya...sana
hahahahaha tulia mnyikungu ushindi kwa Yanga leo ni lazima
yanga wasiposhinda leo. hamna timu nyingine itakayoifunja record ya mbeya city isipokuwa mnyama tu.
yanga wasiposhinda leo. hamna timu nyingine itakayoifunja record ya mbeya city isipokuwa mnyama tu.
Mkuu si uko humu humu ama utaondoka?!