Recent content by Educationist_Buhangija

  1. Educationist_Buhangija

    Spika Ndugai: CHADEMA wajiandae kulipa gharama za kesi ya Tundu Lissu kuvuliwa Ubunge

    Kweli? Are you serious? Yaani umepiga count ukakuta CHADEMA ni balaa kuliko Corona? Mind you, it makes some sense Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Educationist_Buhangija

    TANZIA Katibu Mkuu wa CUF, Khalifa Suleiman amefariki dunia

    Mungu muweke pema peponi, alikuwa role model ya upinzani wa hoja na staha si vurugu. Chibudee, Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Educationist_Buhangija

    Bwana Shamba (Hydroponics) anahitajika Chalinze

    Asante kwa ushauri. Tengeru he? SUA? Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Educationist_Buhangija

    Bwana Shamba (Hydroponics) anahitajika Chalinze

    Shamba liko Chalinze wanatafuta Mtaalamu wa Kilimo bila udongo (hydroponics farming). Awe amesomea fani hiyo (walau hadi Diploma) na uzoefu kazni si chini ya mwaka mmoja. Uzoefu drip irrigation au greenhouses ni kianzio kizuri mradi awe tayari kujifunza teknolojia mpya NGS na kujiendeleza...
  5. Educationist_Buhangija

    Humphrey Polepole: Vyama vya Upinzani vimekosa uhalali wa kutaka maridhiano

    Kwa hiyo badala ya kujibu hoja zake unamtukana, huyu mwenziyo ni serkali. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Educationist_Buhangija

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imeifuta kesi ya Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita baada ya wakili wake kuomba iondolewe

    Yaani kesi imefutwa sababu ya akidiiii au ni kwa kukosa mshiko? Is he or is he not Meya alivyokuwa akiapiza kwa kufuru jana? Nyendo, Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Educationist_Buhangija

    CCM ni chama kikubwa walikuwepo Mwigullu, January na Nape wakapita sasa tunao akina Waitara, Joketi na Kafulila nao watapita!

    Kuna kitu kimoja kinawaunganisha Zitto, January, Fatmakarume, na Ng'wigulu. Ni vijana chapchap, damu inachemka, wanaamini kabisa kuwa Tanzania tuko nyumba shauri ya mazee kungangania (sic!) uongozi. Zitto na January wako on record kuwa Tanzania imechoshwa na wazee, lazima vijana watawale. Kosa...
  8. Educationist_Buhangija

    GE2020 Juhudi za kuua upinzani nchini kwenye uchaguzi ujao ni kwa maslahi ya nani?

    Your analysis is correct but the conclusions quite erroneous. Samahani kwa lugha hiyo sasa tupitie mifano yako. Wabunge wa upinzani hawajazuiwa kwenye majimbo YAO, wote wamejikita majimbo mengine. Nassari na Mbowe tuliambiwa hawajafika kwao. Haya mengine ni mambo ya kuambiwa, kwa nini unyimwe...
  9. Educationist_Buhangija

    Lissu, Zitto nembo ya utanzania, tanuru kwa udikteta

    Hadisi ndeeeefu, hujasema ni nani alimpiga risasi hizo. Hata YEYE hajasema kwa vile ilikuwa mchana lazima angemuona. Kuna dereva pia, hakuwa na maumivu, angemuona zaidi, hajamtaja. Halafu Kaka, iweje siku hiyo TL aende lunch peke yake katika wabunge 500 wa CCM na Upinzani, peke yake? Raia wa...
  10. Educationist_Buhangija

    Natafuta shamba maeneo ya Dar au Pwani

    Kuna viwanja 20 eneo la Goba Kusauke Mtaa wa Kulangwa ni jumla ya ekari 40, si unaweza kukatakata? DSM ni mjini hakuna mashamba hata ukipata within no time yatapimwa. Karibu hiyo.
  11. Educationist_Buhangija

    Eagles High School

    Iko Bagamoyo, wanafanya aptitude test za kuingia F1, kuna masomo ya French, Kilimo, yote kwa iPad Learning
  12. Educationist_Buhangija

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Elekea www.coresurities.co.tz kuna downloadable 3 juu ya hisa, hatifungani, na mifumo ya uwekezaji wa pamoja - equities, bonds, CIS.
  13. Educationist_Buhangija

    Plot4Sale Viwanja 20 vinauzwa Goba Kisauke,

    Majuzi nilienda Goba, viwanja kedhaa vimeuzwa vimebaki 5 vikubwa 27 hadi 32 na vitatu vidogo 450-600 sqrmt. Vina hati, husumbuki wala kusubiri, sote tutaenda kwa Hakimu (au Wakili) mnasaini, unalipa, unapewa hati. Unaweza kulipa polepole lakini hati hutoipewa hadi deni liishe. Angalia namba hizo
  14. Educationist_Buhangija

    Kenya diaspora remittances top in East Africa

    TELL YOU WHAT GUYS? WE BRING BACK THE MAUMAU AND THE MUNGIKI AND THE SHIFTA. LET ALL KENYANS BE REFUGEES, EVERYONE IS DIASPORA. THEN THE DIASPORA "REMITTANCE" WILL BE EQUAL TO THE NATIONAL GDP, HIGHER THAN ALL AGRICULTURE AND INDUSTRY COMBINED, HIGHER THAN MIDDLE LEVEL EU COUNTIES LIKE FINLAND...
  15. Educationist_Buhangija

    Afanye ACCA/CPA badala ya F6~> College

    CPA ni ngumu. Whether upitie ATEC, ECA, HGE au EGM ili uwe CPA utaanza upya, unarudia yale yale ya debit/credit ila ukiwa UDSM au IFM mwalimu wako ni PhD au hata CPA. Best route ni A-level, hasa EGM na PCM kwa vile unahitaji akili nzuri tu . Usomapo CPA, utakuta wahandisi na madaktari. Hii route...
Back
Top Bottom