Educationist_Buhangija
Member
- Jun 1, 2019
- 24
- 8
Shamba liko Chalinze wanatafuta Mtaalamu wa Kilimo bila udongo (hydroponics farming). Awe amesomea fani hiyo (walau hadi Diploma) na uzoefu kazni si chini ya mwaka mmoja.
Uzoefu drip irrigation au greenhouses ni kianzio kizuri mradi awe tayari kujifunza teknolojia mpya NGS na kujiendeleza.
0622303759
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzoefu drip irrigation au greenhouses ni kianzio kizuri mradi awe tayari kujifunza teknolojia mpya NGS na kujiendeleza.
0622303759
Sent using Jamii Forums mobile app