Daah sijui kama nimechelewa kukujibu au laaa!!
Majibu sahihi haya hapa:-
Kama anataka kusomea uhasibu huko mbeleni haina haja ya kwenda Advance..
Aanze na ATEC I anafanya masomo Manne tu.
Then apige ATEC II anafanya pia masomo Manne tu.
Kama yuko vizuri kichwani, ndani ya mwaka mmoja hiyo mitihani yote ataweza kuing'oa kwa May na November sessions..
Baada ya hapo akifaulu ATEC II, atapewa cheti cha Accounting Technician ambacho ni sawa na Diploma ya uhasibu ya miaka miwili..
Kwa hiyo anaapply moja kwa moja chuo kikuu kusoma degree ya uhasibu kama vile BAF, BCOM etc...
Kumbuka aliyeenda advanced level bado yuko form six wakati wewe ndo unaenda kuanza mwaka wa kwanza chuo kikuu..
Baada ya Kumaliza Degree yako rudi tena kwenye CPA uanze na Intermediate Level masomo SITA then malizia na FINAL LEVEL masomo MANNE tu unakuwa CPA (T)..
Acha kurefusha elimu. Tunaoenda huko A LEVEL ni ambao hatujui hii short cut..
Ukihitaji maelezo zaidi nitafute:
Tel. no. 0713388317/0757749641
Mimi nimesoma hiyo BAF, ACCA, CPA, MSc Finance and Investment na Ninafundisha CPA from ATEC I TO FINAL LEVEL, NAFUNDISHA PIA ACCA, NAFUNDISHA NA CPB kwa watu wa Bank.. NIKO DODOMA. NITAFUTE PLEASE UKIHITAJI MSAADA!! USIPOTEZE MUDA WAKO KWA KUREFUSHA ELIMU YA ADVANCE...
Take my words!