Recent content by Edsheraan

  1. Edsheraan

    Nichukue simu ipi kati ya hizi

    Zote hazizidiani sana bei
  2. Edsheraan

    Nichukue simu ipi kati ya hizi

    Redmi 13C. Redmi 14C Aquos sense 7 plus (used) Natanguliza shukrani🙏🙏🙏
  3. Edsheraan

    Pep Guardiola ndio Kocha Bora kwa sasa Duniani

    Ameshakata upepo.
  4. Edsheraan

    Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

    Uko sahihi kwa mtazamo wako.
  5. Edsheraan

    Inakuwaje timu mbovu ya Arsenal iongoze ligi ya Uingereza hadi sasa? Top team za EPL zinakosea wapi?

    Mleta mada unaona mbali haikubeba ubingwa kweli ni timu mbovu.
  6. Edsheraan

    Ligi ya Hispania ni mbovu kulinganisha ya Uingereza

    Katika ligi za hovyo duniani ni ligi ya spain haina ushindani kwenye ligi asipochukua barca anachukua real. Ile ligi inazidiwa na italy angalau kuna ushindani.
  7. Edsheraan

    Nyama zinazoongoza kuliwa duniani

    Ningeandamana mdudu asingekua wa kwanza.
  8. Edsheraan

    Daktari huyu alitaka kunibaka?

    Kiranga alikuwa amekuficha wapi mtumishi
  9. Edsheraan

    Wanawake, dating apps ni za kutafuta wapenzi sio kujiuza

    Serikali ifanye mpango wawe wanatoa kodi.
Back
Top Bottom