Recent content by Edo nyanda

  1. E

    Zaidi ya wanafunzi 28000 kukosa mikopo ya Elimu ya Juu

    wanatengeneza kupitia JKT coz vijana wanazalsha sana na pia wanatengeneza wajasiriamal,sidhan kama n hasara
  2. E

    Kipindi cha Boys Boys ndani ya TV1

    Hv hii TV1 na Viasalat ya Ghana kna mwingilio gan? Coz vpnd vyake vnafanana kasoro hosts n tofaut coz hata Boys boys ipo kwny Viasalat pia
  3. E

    Mbasha aomba msamaha kwa Kosa alilotenda

    Duh kama ndiye jamaa kaisha kbs
  4. E

    Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

    Kankard kapetapeta,iso býz high xul
  5. E

    Huku kupendwa au ni kitu gan hiki

    No love over there,just open the back door and run
  6. E

    Kwanini wanawake ni rahisi zaidi kibiashara kuliko wanaume?

    Rudia uchunguz wanawake wanaongoza kuomba punguzo
  7. E

    Naomba kujua kuhusu application za chuo kikuu

    kmbe naweza kuminya bila hata kutoa taarifa
  8. E

    maombi ya mkopo wa elimu ya juu kwa wahitimu waliomaliza kidato cha sita2014

    je kwa wale wataominya ili wasome mwaka unaofuata,na wao wanaapply pia mwezi huu?
  9. E

    Naomba kujua kuhusu application za chuo kikuu

    Wadau naomba kuuliza,hivi mfano mtu akamaliza kidato cha 6 na matokeo yakatoka mazuri kuwa amechaguliwa chuo kikuu,akaamua kuminya mwaka huo ili aende mwaka unaofuata,nielezen ni hatua gan anapaswa kuzichukua na je mkopo anaapply mwaka huo anaoingia chuo? Msaada please
  10. E

    Ni kwetu tu au ni taifa zima?

    subiri ntakuwekea
  11. E

    Ni kwetu tu au ni taifa zima?

    jkt wanahitaji twende nazo
  12. E

    Ni kwetu tu au ni taifa zima?

    so jeshn watatupokeaje bila leaving?
Back
Top Bottom