Wadau naomba kuuliza,hivi mfano mtu akamaliza kidato cha 6 na matokeo yakatoka mazuri kuwa amechaguliwa chuo kikuu,akaamua kuminya mwaka huo ili aende mwaka unaofuata,nielezen ni hatua gan anapaswa kuzichukua na je mkopo anaapply mwaka huo anaoingia chuo? Msaada please
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.