Mh Tundu A. Lissu,
Kama mgombea wa kiti cha uraisi wa JMT, umekuwa ukisikika kutoa kauli za kutisha pale kutakapokuwa uvunjwaji wa haki kwa uchaguzi kwa kusema ICC itawahusu.
Sasa, itakuwaje pale utakapo kuwa umeshindwa kura? Utajuaje kuwa umeshindwa kihalali kweli, maana umekuwa...
Shida walio wengi wamekaa kumponda dalali wanasahau mada kuu ya mjadala.
Swali ni je ni sawa kumzunguuka dalali???
na vipi kuna utaratibu wowote kisheria endapo ukinaunguuka dalali???
Achaneni na maswala ya kuita mara tapeli mara nini
sasa kama ulianza na 400k ikawa aitoshi,ikapanda mpaka 1,2m aitoshi tu hata ukipata 10m aitotosha.
unadai hujui pesa yako inaenda wapi,unadai huwa unafanya bata mara moja moja na huwa hutumii si zaidi ya 30k.
hapo shida tu ni matumizi ya pesa,maana mshaara wako upo sawa hata ukitaka...
naomba kujua,si rola na mota zinauzwa pembeni???
manake mi ni mgeni ila nimevutiwa kabisa kufanya hii biashara.
nataka ya kusaga mahindi kwaajili ya unga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba kujua utaratibu wa mashine za kusaga mahindi kwa mwenye uzoefu. Naitaji kununua nini na nini, bei ya kila kitu kinachoitajika.
Kwa mwenye uzoefu hata mwenye uelewa pia.
mstoa Epictetus anakuambia,fanya kile kilicho ndani ya uwezo wako na hachana na kile kilicho nje ya uwezo wako.
huwezi zuia mwengine kutoa maoni kukuhusu,hivo maoni yapo nje ya uwezo wetu.
kama wakisema kuwa haikutakiwa sisi kuitwa binadamu inatakiwa tuwajibu kuwa wanatuita wao binadamu ila si...
Kiswahili ni lugha zawa la kiarabu na kibantu,sawa
Ila nihoji upande wa shikamoo huko uarabuni wao huitumia hiyo salamu???
Na huitumia hivohivo tunavyoitumiaga sisi???
Kama Kuna wa kunijibu tuendeleze mjadala
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.