Samahani
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 237
- 355
- Thread starter
- #41
Mwifwa, Tatizo Ni kuwa, jamii imejijengea kuwa MUHIMU (Na pengine lazima useme SHKAMOO)
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni binti,wanaona kuna kitu utawanyima.
Kama ni binti,wanaona kuna kitu utawanyima.
Me sitoi shikamoo japo wengine wanaona ni dharau




Mabinti wengi wanasalimia shikamoo kujihami sio heshima.
Hahah halafu kweliMabinti wengi wanasalimia shikamoo kujihami sio heshima.
Kwanini mnafanya hivyo?
Asili ya Neno Shikamoo Ni Kiingereza(Shakemore) yaani tikisa zaidi na Neno Marahaba Ni Kiarabu(Marahaba) yaani Karibu.Nini asili ya hii salamu? nini maana ya neno "Shikamoo?" tukipata hayo majibu nadhani ndio tutapata conclusion ya kuitumia hii salamu au tusiitumie,haijalishi huyu ni mkubwa au mdogo.
Asili ya Neno Shikamoo Ni Kiingereza(Shakemore) yaani tikisa zaidi na Neno Marahaba Ni Kiarabu(Marahaba) yaani Karibu.
Chimbuko, Kadhia hii ilianza kipindi Cha Mzungu kuingia Mara ya Kwanza hapa Tanganyika huko maeneo ya pwani ya bahari ya Hindi, akamkuta mwarabu, Sasa ikawa mwarabu hajui kimombo Wala Mzungu hajui Kiarabu, ndipo Wakapeana mkono na yule Mzungu akawa anasema " Shakemore" Shakemore" kwa furaha, na Mwarabu nae akawa anasema "Marhaba" Marhaba" ndipo Mswahili (Mzee wetu wa kibantu) alivyorudi kwake akaanzisha Sheria hiyo nyumbani kwake kwamba asubuhi kukicha watu wote mle ndani wamwambie Shikamoo na yeye akawa anajibu Marahaba. Kama ujuavyo kipindi hicho ukanda wa pwani ulikuwa na Maendeleo kuliko sehemu nyingi Tanganyika, ndio hii Mila ikaenea Sana na mpaka mikoa ya Bara Kama Mwanza, Shinyanga n.k. Hivyo imekuwa Kama sehemu ya Mila ya Kitanzania jinsi ya kumuanza Mkubwa kirahisi Ni kusema "Shikamoo".
Marahaba, Hujambo dogo.Shikamoo
Kwani kwa sasa mikoa ya bara inaizidi mikoa ya Pwani kimaendeleo ?Asili ya Neno Shikamoo Ni Kiingereza(Shakemore) yaani tikisa zaidi na Neno Marahaba Ni Kiarabu(Marahaba) yaani Karibu.
Chimbuko, Kadhia hii ilianza kipindi Cha Mzungu kuingia Mara ya Kwanza hapa Tanganyika huko maeneo ya pwani ya bahari ya Hindi, akamkuta mwarabu, Sasa ikawa mwarabu hajui kimombo Wala Mzungu hajui Kiarabu, ndipo Wakapeana mkono na yule Mzungu akawa anasema " Shakemore" Shakemore" kwa furaha, na Mwarabu nae akawa anasema "Marhaba" Marhaba" ndipo Mswahili (Mzee wetu wa kibantu) alivyorudi kwake akaanzisha Sheria hiyo nyumbani kwake kwamba asubuhi kukicha watu wote mle ndani wamwambie Shikamoo na yeye akawa anajibu Marahaba. Kama ujuavyo kipindi hicho ukanda wa pwani ulikuwa na Maendeleo kuliko sehemu nyingi Tanganyika, ndio hii Mila ikaenea Sana na mpaka mikoa ya Bara Kama Mwanza, Shinyanga n.k. Hivyo imekuwa Kama sehemu ya Mila ya Kitanzania jinsi ya kumuanza Mkubwa kirahisi Ni kusema "Shikamoo". Aidha Haina mwisho Ni pale wewe unapokuwa ndio mkubwa kwa kuzaliwa kuliko wote hapo ulipo.
Baadhi imeachwa, Mfano Jiji la Tanga kwa Sasa limeachwa na Jiji la Mwanza., Mafia DC haifikii Kasulu DC. N.kKwani kwa sasa mikoa ya bara inaizidi mikoa ya Pwani kimaendeleo ?
hahahahah kumbeeBaadhi imeachwa, Mfano Jiji la Tanga kwa Sasa limeachwa na Jiji la Mwanza., Mafia DC haifikii Kasulu DC. N.k