Edma falsafa
Member
- Sep 25, 2019
- 41
- 22
yaani jamaa anaona ni vema kuondoa kero kwa kutumia kero.Umejenga hoja ifuatayo:
- Ndani ya vyama hakuna uhuru
- kwenye Tume ya Uchaguzi hakuna uhuru.
- Kwa hiyo, kukosekana kwa uhuru katika Tume ni jambo halali.
HAPANA! Makosa mawili hayazalishi haki.
Huwezi kusema kuwa kwa vile ndani ya vyama hakuna uhuru basi kukosekana kwa uhuru katika tume ya Taifa ni jambo halali.
That is primitive naive and nonsensical reasoning....
wakati huo ni ujinga
Sent using Jamii Forums mobile app