Recent content by EDDOM

  1. E

    Mwanajeshi wa Israel atekwa na Hamas.

    tatizo la muisrael ni kwamba....! mkimuua wake mmoja anakuja kuua wenu 600
  2. E

    Joel Bendera atunukiwa shahada ya uzamivu, sasa kuitwa Dakta Bendera

    teh teh teheeeee...! shule siyo njugu
  3. E

    Influence ya Wachagga Vs Wakinga in Dar Es Salaam

    nyoka zinazidiana nguvu...!
  4. E

    Mzee wa Upako amchana live TB joshua

    a good Man never honoured in his home country...!Nabii hakubaliki kwao....!
  5. E

    Dawa za kupunguza makali ya VVU (ARVs) sasa ziuzwe madukani badala ya kutolewa bure

    mtazamo wako mzuri...! ingawa inaonekana hujaguswa na hili tatizo....! na hata kama umeguswa basi familia yako na ndugu zako wote mpo kivulini...! kwa maana ya kwamba hata zikiuzwa uwezo wa kununua mnao...! hakuna anayejitakia maambukizi....! kuna watu wanaumwa ugonjwa huu wapo vijijini huko...
  6. E

    Umasikini unatokana na uvivu wetu sio serikali

    jibu safi sana....! halijakaa ki itikadi! lakini aliyeleta mada anaonekana kakaa kl itikadi tena kawekwa kivulini.
  7. E

    Nimetokewa na mauza uza kazini kwangu, naomba ushauri

    Hapa dawa yake ni YESU wa NAZARETH tu...! ukilogwa uende kwa mganga pale unavyoanza kujieleza na lenyewe linakuwepo ni JINI hilo...!
  8. E

    Tanzania National Football Team (Taifa Stars) | Special Thread

    ngoja tuone kichwa cha mwendawazimu...!
  9. E

    SUPA STAA wa The Mboni Show ni mmoja wa wahanga wa ajali hapa Gairo.

    du.....! mbona hatari sana bongo moviei wanakwisha....!
  10. E

    Tija ya Mtandao / Intenet ya Tigo Mhhh

    Tigo kwishnehi.. .!
Back
Top Bottom