mtazamo wako mzuri...! ingawa inaonekana hujaguswa na hili tatizo....! na hata kama umeguswa basi familia yako na ndugu zako wote mpo kivulini...! kwa maana ya kwamba hata zikiuzwa uwezo wa kununua mnao...! hakuna anayejitakia maambukizi....! kuna watu wanaumwa ugonjwa huu wapo vijijini huko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.