Kama unataka daktari aongezewe mshahara basi uwapiganie waongezewe mshahara ila usi jaribu kutaka ku down grade Engineers maana hata wao kazi yao ngumu sana usichukulie poa asee.. engineers na daktari kazi zao wote ni life or death .. Engineer wasipokua na solutions sahihi kwenye project zao...
Sio tatizo la wanaume ni suala la opinions za wanaume tofauti kama ingekua kila mwanaume ana set ya matatizo hayo ndio ungesema wanaume shida ila kati ya hayo uliosema kila mwanaume ana chake anachopenda na asichopenda ..
Shida ipo kwenu wanawake nyie wenyewe kwanza hamjielewi mnahitaji nini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.