Ni Mwanamke gani mwenye akili mbovu

floow

JF-Expert Member
Mar 20, 2017
411
855
Kuna mwanamke nilijuana nae na tukawa wapenz.... Kwa maisha yangu ya sasa muda wa kumjali na kumuangalia yeye kwa matumizi na pesa za kumpa Mala kwa mala..nilijua sito weza.... Kwakua yeye yupo nyumbani tuu hana shughuli yoyote.... Nkamwambia nikufungulie office(tigopesa)... Akaniambia mimi hiyo kaz siiwez........ Mimi nkamuuliza unaweza kufanya kazi ipi? Nikuwezeshe mtaji.... Akanijib sitaki kufanya kaz yoyote... Nkamuuliza kwa nn? Akadai mda wa yeye kujishughulisha bado hujafika....

Nkaamua kumuacha alivyo ila mzigo naendelea kula mpaka leo..... Zimeanza lawama sasa oooh hunijal, mwanaume gani humjali mkeo, hujui thaman ya Mwanamke,, akiniomba ela ndogo ndogo nampa ila pesa ya maana sitoi....... Huyo Mwanamke jamani nimfanyeje sasa na ananiambia mambo ya pasaka.....
 
Hahaaaa, umepatikana mkuu! Anajua ukishamfungulia mradi utamkataza kukuomba hela!
Hivyo toa hela au tafuta mwingine
 
endelea kula mzigo mpaka apauke usimpe pay akishtuka unamuonyesha kibanda cha tigo pesa utakua na muda wa kujishughulisha imefika
 
Tatizo mmekutana wote hakuna mwenye kuwaza kupiga hatua katika maisha yenu. Mngekuwa na wivu wa maendeleo huyo mkeo asingekubali kukaa nyumbani pasi shughuli yeyote na wewe pia usingekubali mkeo akae nyumbani bila shughuli yeyote.

Amkeni nyie kaeni chini mshauriane.
 
Tatizo mmekutana wote hakuna mwenye kuwaza kupiga hatua katika maisha yenu. Mngekuwa na wivu wa maendeleo huyo mkeo asingekubali kukaa nyumbani pasi shughuli yeyote na wewe pia usingekubali mkeo akae nyumbani bila shughuli yeyote.

Amkeni nyie kaeni chini mshauriane.

inaonekana huyo mwanamke ni mvivu hlf hana mapenz ya kweli kwa mtoa mada..hapo ingekuwa mm hakuna cha kushauriana its either atafanya biashara au nimuache,kama mda wake wa kufanya biashara haujafika mbona ungefika tu wiki hiyo hiyo, maana hakuna namna. ITS EITHER WE GO HARD OR WE SPLIT WAYS emmyta floow
 
inaonekana huyo mwanamke ni mvivu hlf hana mapenz ya kweli kwa mtoa mada..hapo ingekuwa mm hakuna cha kushauriana its either atafanya biashara au nimuache,kama mda wake wa kufanya biashara haujafika mbona ungefika tu wiki hiyo hiyo, maana hakuna namna. ITS EITHER WE GO HARD OR WE SPLIT WAYS emmyta floow
Huo ndio uwanaume ndani ya nyumba mana vipo vitu lazima vichukuliwe maamuzi la lazima ambapo baadae vinakuja kuwa na manufaa.
 
Mvivu huyo... Full tegemezi
Akati wenzake tunatafuta huyo mtu wa kutuongezea mtaji!!!
 
inaonekana huyo mwanamke ni mvivu hlf hana mapenz ya kweli kwa mtoa mada..hapo ingekuwa mm hakuna cha kushauriana its either atafanya biashara au nimuache,kama mda wake wa kufanya biashara haujafika mbona ungefika tu wiki hiyo hiyo, maana hakuna namna. ITS EITHER WE GO HARD OR WE SPLIT WAYS emmyta floow
Eti mda wa kufanya biashara haujafika ila mda wa matumizi makubwa ushafika
 
Wengine wanaona karaha kujishughulisha... Siyo kitu cha masihara... Kuna karaha na maudhi kibao...

Na inaonesha amekuzwa katika maisha ya kutegemea zaidi kuliko kujitegemea... Hapo sana sana atajishughulisha zaidi kwenye kukuteka kingono hakuna lingine...


Nashukuru Mungu nimepata mwanamke mtafutaji, mchangamfu, mpambanaji, muelewa na mwenye akili sana ya maisha... Siyo mwingine bali ni mahondaw

Love her sana...


Cc: mahondaw
 
Back
Top Bottom