• Maswali hayo yakijibiwa kwa kigugumizi na wasiwasi jua wazi kuwa.
1. Mtoto sio wake
2. Kama mtoto ni wake basi mleta zawadi atakua na mahusiano naye
• Kama Maswali hayo yatajibiwa kwa utuo bila wasiwasi basi hana haja ya kudoubt sema huyo mleta zawadi atakua na kaumama mama flani na...
Binafsi nimekuelewa vyema, tatizo ni kubwa kwa jamii yetu wengi ni "close minded" sio kwa suala hili tu hata kwa mambo mengine ya msingi kama vile masuala ya kiimani za dini, siasa nk
ukikiri kosa sio kwamba hautaruhusiwa kukata rufaa tena, bali utakua limited kwa sababu zako na kwamba utaomba upunguziwe adhabu.kwa mfano mshitakiwa anaweza kuenter a plea of guilty kwa kosa la wizi akafungwa miaka 7 lakini anaweza kuappeal na akapunguziwa adhabu kutegemea na ukubwa au thamani...
Rwanda majanga matupu, kila kitu kwa foleni hadi stendi mnasubiri magari mkiwa mmepanga foleni utadhani mpo kindergarten. Nilipata tabu sana kuzoea na kila Mara nilipamiss tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.