Ndugu yangu sijawai kulikoroga hata 1day.nilishawai kuja humu kuomba ushauri jinsi anavyonifanyia.kiukweli ushauri nilioupata humu na kwa watu wangu wengine wakaribu ambao nao wanamfahamu niliufanyia kazi.sema 2 wanaume wengine ving'ang'anizi.anataka kuforce penzi.
Habari wana jf!jamani mwenzenu naombeni ushuri.jamani kama mnakumbuka nilishawai kuja humu kuomba ushauri kuhusu matatizo ya mpenzi wangu ambaye kwa sasa ni X toka mwezi watatu mwaka huu.chakushangaza ama chakutisha X huyu amenipigia cm usiku huu nakuniambia maneno makari sana kiasi kwamba...
Yani huyo mama yako atakuwa hajui maana yakuokoka.maana kama angekuwa anafahamu ilo asingejitenga na wenzio.kwanini yy asiwe ndo mfano wa familia?angeu2mia vizuri huo ulokole wake angeweza hata kumshawishi mumewe kuokoa.huyo nimbaguzi anawezaje kuujua uchafu wa kiroho wa m2?hata maandiko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.