nimegombana na Mke wangu'ameniacha

nimegombana na Mke wangu'ameniacha

na kama ni hivyo mtoe out ya nguvu atakuelewa.Budget ipo?
 
Atarudi tuu kwa budget hii ya juzi lazima arudi mwenyewe

Je kama nayeye ana uwezo,ndo matatizo ya kuoa Mwanamke anaekuzidi kipato hahisi majukumu yako ya kutunza, kwani anaweza kujitunza mwenyewe.....hivyo kukuacha sio jambo la ajabu kwake.....
 
... I can feel jinsi unavyoumia.... u speak ur true feelings....

... Dawa hii hapa....!!
.... USIENDE KOKOTE..... mfuate hata mara 1000 mbembeleze huku MTAZAME MACHONI KWA UNYENYEKEVU IF POSSIBLE LIA LIA, Mpigie magoti tahadhari muwe wawili tu faragha..... na akirudi tu home siku saa hiyo hiyo mtomb..... vizuri afu mwanaume from there acha maneno mengi.... ..MWANAMKE KAUMBWA NA HURUMA SANA ATAKUSAMEHE.....words like bila ww siwezi ishi...etc...atafurahi na kucheka...miguuu juuuuu...unakula hadi BOGAAAAA....

haya nimekufunda nenda now.... usipige cm ww nenda alipo.... muongee muwe 2 tu.....
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

hasira za mkizi......................................
anyway tuliza akili tafuta watu wenye busara ambao mkeo anawaheshimu waombe wazungumze nae kwa upole kama anakupenda atarudi tu,pole sana ndugu mahusiano sio ya kuchukulia hasira utapata hasara bureeee
 
Yes... Kwenda kwa mganga sio zambi kabisaa tena kunamganga mashuhuri hakutozi hata kumi na kwake hakuna kinachoshindikana kwake yeye magumu yote huwa mepesi.

Mganga mwenyewe ni YESU KRISTO BWANA NA MWOKOZI WETU, wahi sasa hujachelewa ndugu.
 
ndugu zangu sikujua mapenzi ni mchezo hatari kiasi hiki'nimegombana na mke wangu ni mwezi wa pili sasa''tulipogombana alirudi akitaka tuongee lakini bado nilikuwa na hasira naye na nilikataa kuongea naye'hasira zangu zilipoisha niliamua turudiane lakni amekataa na amesema hanitaki tena'kwa kweli nimechanganyikiwa sijui nifanye nini ili turudiane'mimi ni mkristo sijawahi kwenda kwa waganga lakini nasikia kuna dawa unaweza kumrudisha mpenzi aliyepotea?je nitakuwa natenda dhambi nikitumia nguvu za uganga kumrudisha?naomba msaada

Acha mambo ya ajabu.ww muombe mungu atakusaidia maana mungu ndo kimbilio lako.huu nimwaka wa IMANI.lazima maombi yako yatajibiwa.
 
Back
Top Bottom