wakuu ni matumaini yangu mko cool.
Leo nimetupia thread hii kwenu kutaka msaada wa kimawazo juu ya huyu binti wa mjomba wangu!
Tangia nije kwa mjomba amekuwa akinitaka kimapenzi eti anadai kisa mi mkarimu sana kwake na kudai amependezwa na tabia zangu na kusababisha kuamsha hisia za kimapenzi kwangu " for sure ananipenda sana even ananililia juu ya hili"
Cha ajabu ni kuwa nimetumia mbinu zote kumweleza juu ya undugu wetu na yeye kudai si mtoto wa mjomba na anamfahamu baba yake original na yuko serious juu ya hilo na mama yake anaelewa hilo ila baba yake hajui!!
wana jf naombeni ushauri juu ya hili nifanye nini?
wakuu ni matumaini yangu mko cool.
Leo nimetupia thread hii kwenu kutaka msaada wa kimawazo juu ya h:uyu binti wa mjomba wangu!
Tangia nije kwa mjomba amekuwa akinitaka kimapenzi eti anadai kisa mi mkarimu sana kwake na kudai amependezwa na tabia zangu na kusababisha kuamsha hisia za kimapenzi kwangu " for sure ananipenda sana even ananililia juu ya hili"
Cha ajabu ni kuwa nimetumia mbinu zote kumweleza juu ya undugu wetu na yeye kudai si mtoto wa mjomba na anamfahamu baba yake original na yuko serious juu ya hilo na mama yake anaelewa hilo ila baba yake hajui!!
wana jf naombeni ushauri juu ya hili nifanye nini?
wakuu ni matumaini yangu mko cool.
Leo nimetupia thread hii kwenu kutaka msaada wa kimawazo juu ya h:uyu binti wa mjomba wangu!
Tangia nije kwa mjomba amekuwa akinitaka kimapenzi eti anadai kisa mi mkarimu sana kwake na kudai amependezwa na tabia zangu na kusababisha kuamsha hisia za kimapenzi kwangu " for sure ananipenda sana even ananililia juu ya hili"
Cha ajabu ni kuwa nimetumia mbinu zote kumweleza juu ya undugu wetu na yeye kudai si mtoto wa mjomba na anamfahamu baba yake original na yuko serious juu ya hilo na mama yake anaelewa hilo ila baba yake hajui!!
wana jf naombeni ushauri juu ya hili nifanye nini?
wakuu ni matumaini yangu mko cool.
Leo nimetupia thread hii kwenu kutaka msaada wa kimawazo juu ya huyu binti wa mjomba wangu!
Tangia nije kwa mjomba amekuwa akinitaka kimapenzi eti anadai kisa mi mkarimu sana kwake na kudai amependezwa na tabia zangu na kusababisha kuamsha hisia za kimapenzi kwangu " for sure ananipenda sana even ananililia juu ya hili"
Cha ajabu ni kuwa nimetumia mbinu zote kumweleza juu ya undugu wetu na yeye kudai si mtoto wa mjomba na anamfahamu baba yake original na yuko serious juu ya hilo na mama yake anaelewa hilo ila baba yake hajui!!
wana jf naombeni ushauri juu ya hili nifanye nini?
Mkuu usisikilize vitisho vya Lara 1, mtu mzima hatishiwi nyau! Mkwangue huyo binamu yako ili akuheshimu, mbona binamu ni nyama ya hamu? Tom. ba huyo anawashwa, tena ukishamaliza tuletee sledi ingine hapa ututhibitishie kuwa wewe ni kidume!Hahahaaaaaaaaaaaaa! TOO SWEET TO BE TRUE!!!!!!!!!!!! HILO TEGO! STUKA!!!!!Hapo Mke wa Mjomba hakutaki humo ndani unawabana na kujambiajambia sofa zao za cashmere, nyumba nzima umejaaa wee, Mjomba mjomba kitu gani? Kazi kuongeza bajeti! Sasa Mke wa mjomba kamuomba kistaarabu mumewe akutoe kagoma sasa ndo wamekusukia mpango wa kijasusi wa kukuchomoa hapo kimafia! THEY ARE OFFERING YOU AN OFFER THAT YOU CANT REFUSE!!!!!!!! Ukiingia kingi tu kwisha kazi! Ndo tiketi yako kurudi kwenu huko na Mjomba wako hatotaka kukuona MILELE DAIMA Mwana mtoka pabaya usiyejua vibaya! Amekufazili ukataka kumla mwanae.Unavosema Mke wa Mjomba anajua wanchekesha mwenzio ndo Master Mind wa Operation Fukuza Mgeni, na anaifatilia kwa ukaribu. ALL THAT GLITTERS AINT GOLD DUDE!!!!!!!!
Hahahaaaaaaaaaaaaa! TOO SWEET TO BE TRUE!!!!!!!!!!!! HILO TEGO! STUKA!!!!!
Hapo Mke wa Mjomba hakutaki humo ndani unawabana na kujambiajambia sofa zao za cashmere, nyumba nzima umejaaa wee, Mjomba mjomba kitu gani? Kazi kuongeza bajeti!
Sasa Mke wa mjomba kamuomba kistaarabu mumewe akutoe kagoma sasa ndo wamekusukia mpango wa kijasusi wa kukuchomoa hapo kimafia! THEY ARE OFFERING YOU AN OFFER THAT YOU CANT REFUSE!!!!!!!! Ukiingia kingi tu kwisha kazi! Ndo tiketi yako kurudi kwenu huko na Mjomba wako hatotaka kukuona MILELE DAIMA Mwana mtoka pabaya usiyejua vibaya! Amekufazili ukataka kumla mwanae.
Unavosema Mke wa Mjomba anajua wanchekesha mwenzio ndo Master Mind wa Operation Fukuza Mgeni, na anaifatilia kwa ukaribu.
ALL THAT GLITTERS AINT GOLD DUDE!!!!!!!!