Nifanye nini..?!

Nifanye nini..?!

Unamhofia yeye tu, wewe haujionei wasiwasi? Muache afanye kazi huku mnatafuta mahali pengine. Meanwhile kuonyesha unajali kiasi gani, hebu tuanze mipango ya ndoa basi.

nimeipenda hii
 
Mtafutie Kazi nyingine usimpoteze.mshahara ni kilo 2 na 70kushuka chin.Mimi nilifanya Kaz huko 2009-2011.AMIN usiamin utampoteza akienda huko.
 
Nitakuwa mapumziko pale kwa wiki moja hivi...hebu nipm jina na namba yake nitakupa majibu nikitoka mapumziko....
 
Hivi we unawajua wazungu au unawasikia? Watamkula kabaaaang yani 0713 mtoe huko acha umburula wewe vipi.
 
Pole kwa kuwaza hayo,kama unampenda kwa dhati utaweza kuvumilia,kama kuna uwezekano wa kupata kazi maeneo ya karibu fanya ivyo kumtafutia..ila mapenzi ya siku izi kama unawaza kuna kiumbe anakuibia basi jua ni kweli

Mmhhh...??!! Utaniua Kwa Presha.
 
Ngoja wazungu wakamle kabaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaang .....0713..... ndo zao we unamwachaje mtoto anaenda mapolini bwana ndo basi tena maumivu hayo
 
1st jiulize na ujibu mwenyewe,Unaweza kumtimizia mahitaji yake akiacha hiyo kazi!?,Coz mlipokubaliana kuanza kazi huko porini hukumuuliza mwana JF yeyote why now keshaanza kazi ndo uanze kuwa na wasiwasi nae?.Tulia Mtoto apige kazi bhana.

Nishapata Jibu... Liko Moyoni, Ila Linafurukuta Hilo...
 
Mimi nina mchumba wangu(kike), na tunapendana sana, lakini hivi karibuni amepata kazi huko mbugani serengeti kwenye hoteli fulani ya kitalii na inamlipa vizuri sana.
Ila tatizo lililopo ni kwamba, mimi naishi DSM, na masharti ya kazi yake ni kwamba, atapata likizo kila baada ya miezi sita, ina maana ni mara mbili tu kwa mwaka, na kila likizo ni wiki tatu tu.
SASA Nachanganyikiwa, je mwenzangu ataweza kuvumilia vishawishi wakati wote akiwa huko mbugani(kazini).
Je, uhusiano na mapenzi yetu yatadumu kwa mfumo huu wa maisha.

TAFADHALI wana MMU NISHAURINI....

Hofu yako nikuibiwa?ila icho kidore kimoja unacho mnyooshea mpenzi hakina nguvu.kwani kuna vitatu vinakutazama ww na kukuliza.ww je?utavumilia?
 
Hofu yako nikuibiwa?ila icho kidore kimoja unacho mnyooshea mpenzi hakina nguvu.kwani kuna vitatu vinakutazama ww na kukuliza.ww je?utavumilia?



Hilo nalo neno... duuhh!!!
 
daaah inamana hao jamaa hawatambui mahusiano? yani hiyo ni kali sijawahi kuona. kwani hawaruhusu ww kumtembelea? kama wanaruhusu jitahidi uwe unaenda hata kila mwezi tofauti na hapo hako ni kekundu mana yake kubali matokeo umeliwa.



Wanaruhusu Kuwatembelea, Ila Ina Maana Ndo Kila Mwez Ntakuwa Safarini?? Je Sina Majukumu Yatakayo Gongana Na Ratiba Hiyo?
 
duuh,sipati picha wazungu na washkaji,mabosi watakavokua wana mdungua huyo binti na hivi unasema kanona kila siku atakua anadunguliwa,.!
 
Kuna ki2 kinaitwa irresistable forces,hcho hakipingki yaani akimpata jamaa wa kuwa nae close tu,basi andika maumivu!!!
 
Hapa tutarudia ule usemi usemao "fimbo ya mbali haiui nyoka".

Hayo mambo ya kukaa mbali na mwenzi wako tena kwa miezi mingi kama hiyo uzalendo utawashinda tu, kama kuna uwezekano mmoja amfuate mwenzake ili mjenge familia mkiwa pamoja.
 
Back
Top Bottom