neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,860
- 2,149
Unamhofia yeye tu, wewe haujionei wasiwasi? Muache afanye kazi huku mnatafuta mahali pengine. Meanwhile kuonyesha unajali kiasi gani, hebu tuanze mipango ya ndoa basi.
nimeipenda hii
Unamhofia yeye tu, wewe haujionei wasiwasi? Muache afanye kazi huku mnatafuta mahali pengine. Meanwhile kuonyesha unajali kiasi gani, hebu tuanze mipango ya ndoa basi.
Pole kwa kuwaza hayo,kama unampenda kwa dhati utaweza kuvumilia,kama kuna uwezekano wa kupata kazi maeneo ya karibu fanya ivyo kumtafutia..ila mapenzi ya siku izi kama unawaza kuna kiumbe anakuibia basi jua ni kweli
1st jiulize na ujibu mwenyewe,Unaweza kumtimizia mahitaji yake akiacha hiyo kazi!?,Coz mlipokubaliana kuanza kazi huko porini hukumuuliza mwana JF yeyote why now keshaanza kazi ndo uanze kuwa na wasiwasi nae?.Tulia Mtoto apige kazi bhana.
Mimi nina mchumba wangu(kike), na tunapendana sana, lakini hivi karibuni amepata kazi huko mbugani serengeti kwenye hoteli fulani ya kitalii na inamlipa vizuri sana.
Ila tatizo lililopo ni kwamba, mimi naishi DSM, na masharti ya kazi yake ni kwamba, atapata likizo kila baada ya miezi sita, ina maana ni mara mbili tu kwa mwaka, na kila likizo ni wiki tatu tu.
SASA Nachanganyikiwa, je mwenzangu ataweza kuvumilia vishawishi wakati wote akiwa huko mbugani(kazini).
Je, uhusiano na mapenzi yetu yatadumu kwa mfumo huu wa maisha.
TAFADHALI wana MMU NISHAURINI....
daaah inamana hao jamaa hawatambui mahusiano? yani hiyo ni kali sijawahi kuona. kwani hawaruhusu ww kumtembelea? kama wanaruhusu jitahidi uwe unaenda hata kila mwezi tofauti na hapo hako ni kekundu mana yake kubali matokeo umeliwa.