Recent content by DVJ

  1. DVJ

    JamiiForums Tanzania Msaada Jamani Mwenye Uelewa Kuhusu Kesi za Aina Hii

    Mimi ni kijana wa umri wa miaka 29 nilikuwa naomba kueleweshwa katika hili mnamo tareh 13 nilipatwa na tatizo ila katika tatizo nilikuwa kazin na yule alikuwa mteja mie sikuingia kazini maana nilikuwa najisikia vibaya nilijibushana na mteja nikimwambia mie leo sipo kazin nimekuja kula ili nirud...
  2. DVJ

    JamiiForums Tanzania Kama nchi mbili ziliungana zikazaa Tanzania kwanini Zanzibar iwepo ila Tanganyika ife?

    Yani hapa Ndo Kichwa kinazid kuuma maana kila kitu naonaga nyota nyota hii sasa ni hatari tuulize tulioenda zanzibar kufanya kazi tunakuwa kama wakimbizi
  3. DVJ

    JamiiForums Tanzania Simba tujipange vizuri dhidi ya Power Dynamos, maadui zetu wamejipanga kutuangusha wabakie wao tu

    Kaka hizi mila zinaenda zinakata ki ukweli
  4. DVJ

    JamiiForums Tanzania Kwanini kijana wa kiume ukisema kuna hela naisikilizia huaminiki?

    Hii mie mara nyingi huwa inanikuta sana et
  5. DVJ

    JamiiForums Tanzania Biashara

    biashara gan Sent using Jamii Forums mobile app
  6. DVJ

    JamiiForums Tanzania Soudybrown Nimesikitishwa na hili.

    Ndo akili yake ilipoishia kuwaza na wandishi wetu wa sikuhiz Sent using Jamii Forums mobile app
  7. DVJ

    JamiiForums Tanzania Wenzangu na mimi mnaotumia facebook hii Vikundi 99 au Group 99, inamaanisha nini?

    Yan unakuta kuna magroup mengine hujafungua magroup yanajitegemea noyification zake yenyew Sent using Jamii Forums mobile app
  8. DVJ

    JamiiForums Tanzania 112 haina kazi au usiku hawapokei?

    kweli iwe ka ukuryan
  9. DVJ

    JamiiForums Tanzania 112 haina kazi au usiku hawapokei?

    kweli sirudii
  10. DVJ

    JamiiForums Tanzania 112 haina kazi au usiku hawapokei?

    Usiku huu majira ya saa 1:35 hivi tumevamiwa nyumban kwa kuwa wezi walikuwa wanakomaa kuvunja gate nikapiga 112 jaman haipokelewi mpaka nikabid nipige 111 lakin bado ikawa ni tatizo mpaka tulipo piga kwa majiran ndo mmoja alikuwa na namba ya askari akawaita lakini hakutokea ila muda huo jiran...
  11. DVJ

    JamiiForums Tanzania Daaah hizi Barbershop nyinyi kinadada mmetuweza

    kwa kwel huwa zinatesa sana nilijua ni mie tu
  12. DVJ

    JamiiForums Tanzania Mimi haitatokea niandamane kwa akili za kuambiwa

    huko kunaitwa kushikiwa akili coz una andamana hata sio mwanachama and yy kuna kuwa na gar karibu polisi wakifika tu anapanda gar anasepa mnakula zenu rungu mida kwenye tv anasema tumepigwa kumbe hakuepo ww hospital humuoni hata mie ujinga huo cna
  13. DVJ

    JamiiForums Tanzania Ma "house girl" ndo wanawake wa kuoa

    Oa maana hata zubeda wa Pro J alikuja hivyo alikuwa na heshima hadi wa kwenye Tv anawasalimia so chukua jiko
  14. DVJ

    JamiiForums Tanzania Wasio na vitambulisho vya uraia kutoruhusiwa kumiliki simu

    inatakiwa walipitie upya
  15. DVJ

    JamiiForums Tanzania Niligundua anamtu mwingine ila sasa anarudi kwangu

    Kausha hizo siku unajua amefanya mangapi huko hadi kurud and kipi kimemsibu huko tupa kule
Back
Top Bottom