mkuu nakupongeza kwan shida yote ya nini sahau yaliyopita ukirud ofisini unakaza tu mtoto wa kike hawez kukutisha kwa vijineno vya kukaririshwa hao ndo dawa yao tuuu
bongo muvie sio mtu mmoja kwa msemo wako nobody'z know wale ni watu wengi na kwa ujinga wao sie tunaainisha tu wakitaka kuendeleza upuuzi wao na waendeleze tuu ndo maana mi cd yao inaendelea kudorora
Mijitu mingine bureee kabisa yan unakuta janaume zima linatoa namba yake humu eti nitumie nyimbo mbele kwa mbele hicho kiitikio tu kimekaa kishambenga shambenga wa waitikiaji wake ni wanawake sasa nashangaa hii michicha mwiba sijui itakua inaimbaje shame on youuu wotee ma bajomba unaoomba huo upuuzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.