Cyber law kuanza September Mosi

Cyber law kuanza September Mosi

Cyber Law itakuwa sawa na sheria "Sharia" ya kiislam ya kukata wezi mikono iliyowahi kutungwa huko Sudan na serikali ya Al Bashir. Baada ya miaka michache ikaonekana karibu 3% ya wasudan wote ama hawana mikono yote miwili ama hawana mkono mmoja, ikabidi ifutwe mara moja.
Na hii Cyber Law ya Tanzania ikiishajaza wafungwa magerezani itafutwa tu mara moja kwa sababu ilipitishwa na bunge kwa hila na chuki.
 
Hakuna mwanasiasa wa ccm ambaye hayumo humu tena ndio watukanaji wakubwa na wengine wamekodi kabisa watu wa kuwasemea humu na kutukana wapinzani wao
Nani ataanza kumfunga paka kengele? Kabla haijaijaanza kutumika napendekeza invisible aanike majina halisi ya watu na ID zao utashangaa utakavyowaona wakubwa walivyokuwa wanaharisha humu ndani!

hah hah hah kaka naungana na wewe tuwachore tu maana hamna namna nyingine
 
Hii sheria itakosa mashiko..so itakosa uhalali wa kisheria wa kuwatuhumu na kuwatia hatiani washtakiwa

Nilishapata kusema humu ndani siku moja kuwa ili kosa lidhihirike kuwa ni kosa ni lazima basi pawepo na uhusiano kati ya "Mens rea" na "Actus reus"...hayo ni maneno ya kilatini...

Mens rea ni akili, mawazo, fikra zinazokushawishi kutenda kosa.. guilty mind...criminal mind...criminal desire. ..criminal feelings...

Actus reus..physical action to criminal acts...ambapo ili kosa lidhihirike kuwa ni kosa ni lazima basi ithibitike kuwa..kuna uhusiano kati ya mens rea. Na actus reus. ..

Sasa ktk sheria hii ya mitandao kuna ibara inasema kuwa..mtu yoyote atakaefungua ujumbe ambao sheria imeufanya kuwa ni jinai....basi..mfungua ujumbe atakuwa ametenda kosa..

Kwa mfano mimi nimepost ujumbe humu ndani ya group ambao sheria imeufanya kuwa ni jinai...na wewe..ukaufungua....hakutakua na kosa...simply because hukujua nilichopost...so kukakosekana mens rea. ..
 
Kikubwa ni kujizuia kupost vitu vitakavyowakwaza wengine moja kwa moja....kuanzia hapo sheria itakapoanza kutumika..

Sheria inakaza mtu kutiwa hatiani kwa tendo lolote ambalo wakati anafanya halikuandikwa kuwa ni kosa.......'mtu yeyote hapaswi kuhukumiwa kwa tendo lolote lile ambalo wakati linayendeka lilikua halijaandikwa kuwa ni kosa katika vitabu vya adhabu..vya kimataifa..au kitaifa...wala hakuna adhabu itakayopaswa juu ya tendo hilo....
 
Hii inawahusu sana magamba Ritz Kinjekitile@Lizabon na magamba wengineo wengi
 
Last edited by a moderator:
Sheria ya Makosa ya Mtandao kuanza kutumika kuanzia September mosi mwaka huu.

Mdau kama ulikuwa hujui chukua tahadhari na hapa hofu kubwa ni juu ya uchaguzi mkuu.

Bora ianze tu hyo sheria watu wengi wamekuwa wakipost vitu vya uchonganishi wa viongoz wetu na wanaichi kutukana viongozi kila kukicha ktk mitandao nasema sheria ianze na ifanye kazi inavyotakiwa bila kupindisha
 
Wakuu naomba kuuliza vipi hii sheria ya cyber crime itayoanza september mosi itakuwa na effects gani humu je ndio mwisho wa habari nyeti nyeti ka zinazomuhusu mkuu wa kaya, serikali, upinzani na etc au jF itawalinda vip watoa habari hizo
Nawasilisha
 
Upuuzi mwingine ni kuwa CCM wakivunja hiyo sheria hawatashughulikiwa, lakini ukisema against them wako na wewe.
Hakuna uhuru nchi hii
 
Nina uhakika 95% ya wa TZ hawajui hata kilichomo katrika sheria hiyo.
 
Hivi na wale ambao wameshaharibu kabla ya hyo tarehe itawahusu..
One of the qualities of the law is that its does not apply retrospectively so wwe jiachie t u sasa ila ikishasainiwa kuwa mpole
 
Kama walishindwa kutokomeza rushwa kwa sheria iliyounda PCCB ndiyo litakuwa hii ya cyber? Wao wenyewe ndio viwanja wa matumizi mabaya ya mtandao
 
Sheria ya Makosa ya Mtandao kuanza kutumika kuanzia September mosi mwaka huu.

Mdau kama ulikuwa hujui chukua tahadhari na hapa hofu kubwa ni juu ya uchaguzi mkuu.
asante mkuu , lakini itadumu kwa muda mfupi sana , maana baada ya uchaguzi UKAWA itaifutilia mbali , wito kwa mwanasheria mkuu wa UKAWA mh tundu lissu pigeni kelele sana kuhusu sheria hii kwenye kampeni , hakika italeta kura nyingi mno !
 
Back
Top Bottom