Hayawi hayawi sasa yamekuwa. Ujio wa Pep Guardiola ndani ya ligi ya EPL na 'mshangao mshangao' wa Louis Van Gaal unaonekana kuwalazimisha united kubadili mind set yao kuhusu aina ya soka lililoasisiwa na the Sir Alex Ferguson.
Hii ni kutokana na ukweli kuwa club tajiri, kongwe na kubwa ya Man U inafanya mazungumzo na kocha Jose Mou kwa ajili ya kuifundisha club ya Man United. Hii ni kazi murua ya 'Jorge Mendes'. Huyu jamaa mhuni sana huyu.
Jipekulie hapa mwenyewe
------------------------
Jose Mourinho in talks with Manchester United as Van Gaal set for sack - The Busby Babe
------------------------
-------------------
http://bleacherreport.com/articles/...-held-by-manchester-united-over-managers-role
-------------------
Hii ni kutokana na ukweli kuwa club tajiri, kongwe na kubwa ya Man U inafanya mazungumzo na kocha Jose Mou kwa ajili ya kuifundisha club ya Man United. Hii ni kazi murua ya 'Jorge Mendes'. Huyu jamaa mhuni sana huyu.
Jipekulie hapa mwenyewe
------------------------
Jose Mourinho in talks with Manchester United as Van Gaal set for sack - The Busby Babe
------------------------
-------------------
http://bleacherreport.com/articles/...-held-by-manchester-united-over-managers-role
-------------------