Kka uliyoyaxxema ni kweli tatizo cdm inejikita kueneza chuki juu ya ccm hivyo kupelekea chuki miongoni mwetu kati ya ccm na cdm hiyo c dmorasia ya kweli katika siasa zetu
Makonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi.
Kwa mujibu wa Katiba ya chuo yeye ndiye anaidhinisha pesa kutoka hivyo kupitia nafasi hiyo aliweza kutumia pesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.