Ushauri: Dr W Slaa bado unahitaji wanawake

Ushauri: Dr W Slaa bado unahitaji wanawake

kwa level gani?
_elimu
_madaraka
_urimbwende
_ujana au kwa lipi haswa.

Yote kwa pamoja!1.Elimu(kuelimika)anayo kigezo si PhD 2.CDM hawako madarakani kwa sasa 3.urimbwende CDM wako kikazi zaidi hawamind kujiremba 4.Ujana-hakika yu kijana bado huwezi mfananisha na magigolo ya CCM Anna Kilango,Sofia Simba,Anna Abdalla,Mary Nagu...aaah orodha ni ndeeeefu!.
 
Kka uliyoyaxxema ni kweli tatizo cdm inejikita kueneza chuki juu ya ccm hivyo kupelekea chuki miongoni mwetu kati ya ccm na cdm hiyo c dmorasia ya kweli katika siasa zetu
 
Acha kutuzuga miss kuna taarifa kwamba nawe umeanza ndogo ndogo?!

Aliyekupa hizo taarifa alitaka kujua kama wewe unaweza kufikisha taarifa kwa ufasaha.....

Tumegundua una matatizo yakutofikisha taarifa kama ulivyopewa,......Taarifa iliyopo ni CDM 2015 mwendo mdundo.
 
Ila alitupa jela familia nzima maisha kisa K ya Sinza!


Bora anaemtupa mwenzake jela kwa sbb ya k lakini sio yule anaepora na kuanza kugegeda hadharani,inaumiza kwanimwale unaosikia kacharangwa mapanga ama kachomwa visumu 100 au kapigwa risasi 20 kifuani sababu mara nyingi huwa ni dhuluma ama kupora mke wa mtu!,yani ni bor ukamsweka lupango ili uwe self.
 
Aliyekupa hizo taarifa alitaka kujua kama wewe unaweza kufikisha taarifa kwa ufasaha.....

Tumegundua una matatizo yakutofikisha taarifa kama ulivyopewa,......Taarifa iliyopo ni CDM 2015 mwendo mdundo.


Kwa utetezi huu miss inaonekana wewe ni mnytiaji mzuri sana wa vya watu,dah!!!
 
Kka uliyoyaxxema ni kweli tatizo cdm inejikita kueneza chuki juu ya ccm hivyo kupelekea chuki miongoni mwetu kati ya ccm na cdm hiyo c dmorasia ya kweli katika siasa zetu

Hakuna chuki inayoenezwa na CDM zaidi ni chuki ambayo CCM imeitengeneza kwa wananchi kupitia ahad hewa walizozitoa ili wapate madaraka.
 
Ni mtazamo wako tuu @ WABHEJASANA......si lazima uwe kweli.
CDM 2015 wataisoma


Haya ma mdogo.turudi kwenye hoja,sikia namuomba sna muumba wangu atuweke,bado sijaona jitihada zilizofanyika ili kuifanya cdm iingie madaraksni ama iunde serikal7,ila ninchoona wanafanya jitihada za kuongeza wabunge hili wanaweza kufanikiwa yasipowakuta yale ya cuf mwaka ule!,hebu tusubiri kwa sbb
muda bado!
 
Haya ma mdogo.turudi kwenye hoja,sikia namuomba sna muumba wangu atuweke,bado sijaona jitihada zilizofanyika ili kuifanya cdm iingie madaraksni ama iunde serikal7,ila ninchoona wanafanya jitihada za kuongeza wabunge hili wanaweza kufanikiwa yasipowakuta yale ya cuf mwaka ule!,hebu tusubiri kwa sbb
muda bado!

CCM imebakiza mtaji wa wanawake tu
 
hio sio hoja, huo ni ushauri. na kama wakombozi wenyewe ndio hivyo kazi mnayo.

Na kama ni ushauri......je ni wewe unaeshauriwa mpaka ulete habar ya mbowe?
Unaulizwa huyu kuku?unakataa ......alafu unasema ni jogoo.
Kazi kwel kwel.....
 
MKUU kwa nini unahisi au unajuaje kuwa "wake zenu" au mke wako anamfaa

Huyo bwana ameshindwa tu kusema labda anataka kumtoa mke wake sadaka kwakufurahishwa na rais ajeye, amtafute mtu mwingine Dr anamke wake
 
Kwani na katika hayo malipo ya buku 7 na buku 10 uwa kodi inakatwa?
 
Haya ma mdogo.turudi kwenye hoja,sikia namuomba sna muumba wangu atuweke,bado sijaona jitihada zilizofanyika ili kuifanya cdm iingie madaraksni ama iunde serikal7,ila ninchoona wanafanya jitihada za kuongeza wabunge hili wanaweza kufanikiwa yasipowakuta yale ya cuf mwaka ule!,hebu tusubiri kwa sbb
muda bado!

Nashukuru kwa kuamini kwanza wabunge wa CDM wataongezeka......bado haupo mbali sana na ukweli.CDM 2015......
 
Back
Top Bottom