Uchafu wa Paul Makonda huu hapa

Uchafu wa Paul Makonda huu hapa

DVD YB

Member
Joined
Aug 13, 2012
Posts
82
Reaction score
15
Makonda amekuwa akijisifu ya kwamba yu msafi wakati Makonda huyo kipindi akiwa Waziri mkuu wa serikali ya wanafunzi MUCCOBS aliweza kutumia nafasi hiyo kutafuna pesa za wanafunzi.

Kwa mujibu wa Katiba ya chuo yeye ndiye anaidhinisha pesa kutoka hivyo kupitia nafasi hiyo aliweza kutumia pesa zetu vibaya na upelekea Waziri wake wa fedha aliyekuwa anagombea nafasi ya urais kushindwa kutokana na kashfa hiyo ya pesa.

Na makonda mwaka 2009 katika maadhimisho ya kifo cha Nyerere alipewa pesa ya maandalizi lakin kutokana na tamaa zake alikwenda kwa Ndesamburo nako alichota pesa hiyo ikapelekea kuvuliwa ujumbe wa UVCCM mkoa wa kilimanjaro.

Na alitumiwa na CHADEMA kuimaliza CCM chuoni, hilo ni fisadi dogo linalo chipukia kwa mgongo wa kutumia usafi kama anavyojinasibu.

 
MAKONDA AMEKUWA AKIJISIFU YA KWAMBA U MSAFI WAKATI MAKONDA HUYO KIPINDI AKIWA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI MUCCoBS ALIWEZA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTAFUNA PESA ZA WANAFUNZI KWA MUJBU WA KATIBA YA CHUO YEYE NDIYE ANAHIDHINISHA PESA KUTOKA HIVYO KUPITIA NAFASI HIYO ALIWEZA KUTUMIA PESA ZETU VIBAYA NA UPELEKEA WAZIRI WAKE WA FEDHA ALIYEKUWA ANAGOMBEA NAFASI YA URAIS KUSHINDWA KUTOKANA NA KASHFA HIYO YA PESA. NA MAKONDA MWAKA 2009 KATIKA MAADHIMISHO YA KIFO CHA NYERERE ALIPEWA PESA YA MAANDALIZI LAKIN KUTOKANA NA TAMAA ZAKE ALIKWENDA KWA NDESSA MBURO NAKO ALICHOTA PESA HIYO IKAPELEKEA KUVULIWA UJUMBE WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO. NA ALITUMIWA NA CHADEMA KUIMALIZA CCM CHUONI HLO NI FISADI DOGO LINALO CHIPUKIA KWA MGONGO WA KUTUMIA USAFI KAMA ANAVYO JNASIBU.

haituhusu hiyo, kama umeshindwa kummudu mkeo jamaa amekuzidi viwango kamalizaneni huko. Hapa haikusaidii...
 
MAKONDA AMEKUWA AKIJISIFU YA KWAMBA U MSAFI WAKATI MAKONDA HUYO KIPINDI AKIWA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI MUCCoBS ALIWEZA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTAFUNA PESA ZA WANAFUNZI KWA MUJBU WA KATIBA YA CHUO YEYE NDIYE ANAHIDHINISHA PESA KUTOKA HIVYO KUPITIA NAFASI HIYO ALIWEZA KUTUMIA PESA ZETU VIBAYA NA UPELEKEA WAZIRI WAKE WA FEDHA ALIYEKUWA ANAGOMBEA NAFASI YA URAIS KUSHINDWA KUTOKANA NA KASHFA HIYO YA PESA. NA MAKONDA MWAKA 2009 KATIKA MAADHIMISHO YA KIFO CHA NYERERE ALIPEWA PESA YA MAANDALIZI LAKIN KUTOKANA NA TAMAA ZAKE ALIKWENDA KWA NDESSA MBURO NAKO ALICHOTA PESA HIYO IKAPELEKEA KUVULIWA UJUMBE WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO. NA ALITUMIWA NA CHADEMA KUIMALIZA CCM CHUONI HLO NI FISADI DOGO LINALO CHIPUKIA KWA MGONGO WA KUTUMIA USAFI KAMA ANAVYO JNASIBU.
Tuandikie Usafi wako pia ili tuupime kwa kutumia Uchafu wa Makoda
 
MAKONDA AMEKUWA AKIJISIFU YA KWAMBA U MSAFI WAKATI MAKONDA HUYO KIPINDI AKIWA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI MUCCoBS ALIWEZA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTAFUNA PESA ZA WANAFUNZI KWA MUJBU WA KATIBA YA CHUO YEYE NDIYE ANAHIDHINISHA PESA KUTOKA HIVYO KUPITIA NAFASI HIYO ALIWEZA KUTUMIA PESA ZETU VIBAYA NA UPELEKEA WAZIRI WAKE WA FEDHA ALIYEKUWA ANAGOMBEA NAFASI YA URAIS KUSHINDWA KUTOKANA NA KASHFA HIYO YA PESA. NA MAKONDA MWAKA 2009 KATIKA MAADHIMISHO YA KIFO CHA NYERERE ALIPEWA PESA YA MAANDALIZI LAKIN KUTOKANA NA TAMAA ZAKE ALIKWENDA KWA NDESSA MBURO NAKO ALICHOTA PESA HIYO IKAPELEKEA KUVULIWA UJUMBE WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO. NA ALITUMIWA NA CHADEMA KUIMALIZA CCM CHUONI HLO NI FISADI DOGO LINALO CHIPUKIA KWA MGONGO WA KUTUMIA USAFI KAMA ANAVYO JNASIBU.
Sasa kama Makoda amuiua CCM kuna kosa gani ??? Kama una nguvu endelea kujenga CCM Usilalamike!!!!!!!!
 
Hii thread aina mashiko kabsa hapa Jamvini.
Kikubwa umechemka kudonoa uongo huu uliouweka hapa!
 
MAKONDA AMEKUWA AKIJISIFU YA KWAMBA U MSAFI WAKATI MAKONDA HUYO KIPINDI AKIWA WAZIRI MKUU WA SERIKALI YA WANAFUNZI MUCCoBS ALIWEZA KUTUMIA NAFASI HIYO KUTAFUNA PESA ZA WANAFUNZI KWA MUJBU WA KATIBA YA CHUO YEYE NDIYE ANAHIDHINISHA PESA KUTOKA HIVYO KUPITIA NAFASI HIYO ALIWEZA KUTUMIA PESA ZETU VIBAYA NA UPELEKEA WAZIRI WAKE WA FEDHA ALIYEKUWA ANAGOMBEA NAFASI YA URAIS KUSHINDWA KUTOKANA NA KASHFA HIYO YA PESA. NA MAKONDA MWAKA 2009 KATIKA MAADHIMISHO YA KIFO CHA NYERERE ALIPEWA PESA YA MAANDALIZI LAKIN KUTOKANA NA TAMAA ZAKE ALIKWENDA KWA NDESSA MBURO NAKO ALICHOTA PESA HIYO IKAPELEKEA KUVULIWA UJUMBE WA UVCCM MKOA WA KILIMANJARO. NA ALITUMIWA NA CHADEMA KUIMALIZA CCM CHUONI HLO NI FISADI DOGO LINALO CHIPUKIA KWA MGONGO WA KUTUMIA USAFI KAMA ANAVYO JNASIBU.
Huu unao uita wewe uchafu wa Makoda ni usafi mbele za Mageuzi na harakati za kuikomboa nchi hii , wakati huo huo usafi wako wewe ni Uchafu mbele za haki!!!!!!!!!
 
who is that dude hadi ashutumiwe kwa bolded capital letter tokea mwanzo wa habari hadi mwisho..
 
Nnaposikia hili jina la Makonda roho inashtuka, kuna makonda aliwahi kujifanya H.R kampun moja ya cm then akataka kuniliza lak 5 kwa kisingizio cha atanipa ajira! Ishu ilifanana kama ile ya akina kibonde leo ingawa cjawasikiliza toka mwanzo! Cjui atakuwa ndugu yake!!!?
 
Who Why Where What??? Usiibuke na kuanza kulia wakati kipigo hatujakisikia. Hivi kweli unamaliza kilobyte za JF kwa kulalamikia jambo ambalo jamii ya JF haijui na haiihusu kabisa. Please don't waste our moment!!
 
Back
Top Bottom