tatizo kwa system zetu ukiwa mkweli inaweza kukupomza
chukua mfuko kidumbukize ndani. kirushe karibia na kituo cha police chochote ikibidi uweke kimemo kuwa police kakisahau ndani ya gari yako over
mshamba ni wew kazi kuzurura kwa watu na hela huna hata yakupanda ndege ndo nyie mnaoogopa kulogwa ndo maana hamuendi kwenu eeeh wenzako wako kwao waache
yani kituo cha daladala cha mawasiliano kina international standards everything is just perfect hata wakora hamna
iyo bullshit ya ubungo terminal cjui kwanini wasiifanye soko la ndizi na kuku
ndo maana campany kubwa kama kilimanjaro wameanzisha office zao wenyew
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.