Mafuriko ya wachaga moshi...baba jesca shikamoo

Mafuriko ya wachaga moshi...baba jesca shikamoo

Inasemekana kuwa mpaka sasa bia ni bidhaa hadimu kuipata mjini moshi
 
huwa wanakwenda ku renew majuju yao na kurekebisha pale walipokosea au kufanya malipo na kuingia mikataba mipya.
 
Nashangaa sioni misafara ya chato....
Kaskazn haitaangushwa kwa awamu mbili tu
 
Niko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.

Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
 
Niko hapa Moshi stendi, ni fujo tupu. Abiria ni wengi balaa! gari hakuna, December ilikuwa ni taabu pale Ubungo stendi, January balaa limehamia huku. Ninyi wachaga mtaacha lini tabia yenu hii iliyopitwa na wakati?? Maana mnatutaabisha na wengine tusiohusika na ma-mitambiko yenu ya kila mwisho wa mwaka.

Badilikeni bhana mkijua hii ni karne ya 21.
ushamba ni ww kuwepo hapo Moshi kwa huo wakati at least katoe salam kijijini kwenu
 
Hali ni hivyo hata Mbeya stend jana. Yaani watu wamepanda hiace na eicher kuja dar magari mengi yamejaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom