Recent content by Dusabimana

  1. Dusabimana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Siku ya kwanza kufanya mapenzi nili-sex na wanawake wawili

    Muongo huyu nilimhadithia story yangu yeye ageuza kuwa yake humu jukwaani!
  2. Dusabimana

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Throw Back: Ulijisikiaje ulipofanya mapenzi kwa mara ya kwanza kabisa?

    Hata me nilianza mambo hayo baada ya kuoa! Mwanzoni Mwanamke akiwa bado mgeni alinizingua kitandani kwa kunishika mboo akawa anaisugua kwenye mapaja yake, sikuona raha ya kuishi na Mke. Nilipata wazo la kumfukuza ila nikamshirikisha Dingi kwanza. Bahati nzuri Mzee alibaini kuwa nilikuwa sijui...
  3. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Africa vs Developed Countries = Women vs Men

    Kazi ya Beberu ni hii hapa
  4. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Mtwara: Wafanyakazi Idara ya Afya wapigwa Marufuku kutumia neno "Boss"

    Naunga mkojo hoja!
  5. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Ningepata nafasi, ningewapigia magoti na kuwashukuru Umoja wa Ulaya

    Wewe Jamaa, Wakati mwingine misimamo yako huwaga siielewi vizuri! Viongozi wa Tanzania wamezingua, unashukuru Wazungu kutaka kuiwekea Nchi vikwazo. Bila kujali tutakaoumia ni sisi Wananchi wenye maisha ya chini! Nina imani Wazungu wangekuwa wameweka vikwazo kwa Viongozi Wakorofi na...
  6. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Choka mbaya kiaje?!
  7. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Watu wa Musoma tukumbushane stori za Musoma kuanzia 2000-2010

    Barongo alisha farik?i!! Huyu Jamaa nasikia alisha wahi kuwa Afisa Utamaduni hapo Musoma.Mke wake mdogo alimchukua kwa Mzee Mbogola mtaa wa Shomolo upande wa kulia ukitoka Mjini kuelekea Nyasho.
  8. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania GE2020 Mgombea wa Urais wa Tanzania, Tundu Lissu afungiwa na NEC kufanya Kampeni siku 7

    Dawa ya hawa Jamaa ni kuingia Msituni.
  9. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania SpaceX wanazidi kuirudisha heshima ya USA katika masuala ya Space exploration

    We Jamaa mbishi sana tayari umesha vamia huku kuleta ubishi wako! Toa ushahidi wako hapa. ukiacha mambo ya rocket kutopaa vertical ni lini uliona vimondo vinadondoka kutoka angani kwa njia ya Vertical?!
  10. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Marekani yaipatia Tanzania billioni 12 kukabiliana na Corona

    Wataitwa Mabuzi!
  11. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania Askofu Gwajima Atoa Kali, Aomba Kibali Serikalini Kuponya Wagonjwa wa Corona Mahospitalini, kwa Kutumia Miujiza ya Nguvu za Mungu!

    Labda sauti ile aliyo itoa Yeye akiwa juu ya Yule Kondoo White!
  12. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania TANZIA: Mkurugenzi wa ICAP Tanzania, Dkt. Fernando Morales afariki Dunia

    Sio michembe ni MATOBOLWA!
  13. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania The World is a flat plane and not a globe

    kuna swali ambalo halijawahi jibiwa na flat disc Earthers! Eti ni kwanini Watu watatu wakisimama sehemu za karibu na Antarctic 1.asimame Chile 2.asimame Australia na wa 3 asimame South Africa! Je ni kwanini wote wakitazama juu angani wataona kundi la nyota aina moja,ikiwa Antarctic ndiyo...
  14. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania The World is a flat plane and not a globe

    Kama Mungu kusudio lake ilikuwa kuwazuia Watu wa Babeli wasifike hapo juu kwenye Dome, kwa mujibu wa flat Earthers alikuwa kachemka! Kwa maelezo ya flat Earthers hiyo Dome inaanzia kule Antarctic ikianzia chini aridhini ambako Watu wengi wanaweza kuifikia. Eti ndio maana Wanasayansi wakaweka...
  15. Dusabimana

    JamiiForums Tanzania The World is a flat plane and not a globe

    Asee mimi niko nasubiri mpaka siku flat Earthers wenzako Watakapo anza project ya ujenzi wa Minara mirefu ili wakimaliza tu na wao wawe wanajitundika juu na Camera zao! Watupatie Videos halisi za hiyo flat disc earth na siyo hizi CGI ulizo post humu!
Back
Top Bottom