Mawazo mazuri sana..mwajiri ni serikali..ajira ya kudumu..nimepita shm nyingi hawana shida na proposal yangu..issue ni huu uhakiki..wanataka uhakiki uishe ndio nende ila sio kipindi hiki cha uhakiki wanahisi nataka kutimua mbio[emoji12]
Habari wanajukwaa?
nina shida na matatizo makubwa sana yananikabili.l ya kifamilia na kijamii.
Nina hitaji mkopo wa mil 23-25 kwa mtu yoyote au kampuni yoyote kwa makato ya kila mwezi kwa muda wa miaka 10 either makato ya moja kwa moja toka kwa mwajiri au kwa bank standing order ya kila...
kweli kabisa..polisi hawa nao ni shida..askari sio kabisa..sina urafiki nao sina undungu nao kwa askari asiyekuwa ndugu yangu.
inawezekana shida sio lap top..nje ya box kuna jambo
MKAZI WA MLANDIZI KIBAHA PWANI APATA UPOFU BAADA YA KUMEZA DAWA AINA YA FANSIDER AOMBA MSAADA ML.18
MKAZI mmoja ajulikanaye kwa jina la Seleman Mgoto (42) anayeishi katika kitongoji cha Janga
kilichopo eneo la Mlandizi Wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani ameathirika macho yake mawili na
kupoteza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.