Zuio la Safari Nje: Nani Kamruhusu Kitwanga kwenda Israel Bunge Likiendelea?

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
40,432
73,078
Leo magazetini serekali imesisitiza kibano cha safari za nje kiko palepale kwa watumishi wa umma.
Lakini Mbunge wa Misungwi ambaye alikuwa Waziri wa mambo ya ndani haonekani Bungeni na habari zinasema yuko Israel kwa safari binafsi.
Nani kamruhusu wakati huu ambapo vikao vya Bunge vinaendelea?
Au mtumishi akiwa rafiki wa karibu wa mkulu hahusiki na kuomba kibali kwenda nje?
 
Kitwanga ni mtumishi wa umma??
si mbunge wa kawaida tu ?

au wabunge na wao lazima wapewe kibali?

Tuanzie hapo
 
Mbona TE="Chakaza, post: 16483510, member: 1840"]Kibali cha kusafiri nje kilishaelezwa kuwa hakijali ni fedha zako, za serikali au wafafhili. Madamu mtumishi wa umma.[/QUOTE]
Mbona Mbatia kasafiri Mara tatu nje ya nchi bila kibali na hujahoji.
 
Leo magazetini serekali imesisitiza kibano cha safari za nje kiko palepale kwa watumishi wa umma.
Lakini Mbunge wa Misungwi ambaye alikuwa Waziri wa mambo ya ndani haonekani Bungeni na habari zinasema yuko Israel kwa safari binafsi.
Nani kamruhusu wakati huu ambapo vikao vya Bunge vinaendelea?
Au mtumishi akiwa rafiki wa karibu wa mkulu hahusiki na kuomba kibali kwenda nje?
Labda amefuatilia issue za kuiokoa lugumi
 
Leo magazetini serekali imesisitiza kibano cha safari za nje kiko palepale kwa watumishi wa umma.
Lakini Mbunge wa Misungwi ambaye alikuwa Waziri wa mambo ya ndani haonekani Bungeni na habari zinasema yuko Israel kwa safari binafsi.
Nani kamruhusu wakati huu ambapo vikao vya Bunge vinaendelea?
Au mtumishi akiwa rafiki wa karibu wa mkulu hahusiki na kuomba kibali kwenda nje?

Mbatia amesafiri nje ya nchi mara tatu, mbona hukuhoji?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom