Ushauri wangu usikurupuke kumuoa coz kama wanamahusiano ukimuoa ni sumu kubwa mana ndoa haifuti uchumba hata siku moja
Jambo la pili usije ukachukua uamuzi wa kumuacha kama haujathibisha kama anamahusiano naye mana waweza kuwa ww ndo msaliti ila hitimisho ni kumpangia chumba kabla sehemu...
1.Hvi mbunge wa kuteuliwa anaweza akaapishwa sehemu tofauti na bunge ikiwa kipindi cha uteuzi wake bunge halipo kazini.
2. Pia kama sikosei ninafahamu mtu hawezi kuwa waziri kama siyo mbunge naomba ukweli wa hili.
3. Je mbunge wa kuteuliwa anaweza kuapishwa uwaziri kabla ya kuapishwa ubunge?
Ahsante hii inawezekana mana huwa naona uvivu kula mpaka nikajihisi nna minyoo, itabidi nifanye hivyo na niwe najilazimisha kula japo huwa sipati hamu ya kula hata njaa inapouma but kama ndio sababu itanibidi nijilazimishe huku nikiendelea na hyo dawa
Uhakika ni kwamba uvaaji wa chupi ndo huchangia hiyo kitu mm binafsi yangu ilikuwa impepinda nilipoingia form five mwaka 2007 niliacha kabasa kuvaa chupi nikawa navaa bucta tu, sasa HV hakuna uelekeo wowote wa kupinda yaani inasimama sawasawa na kiukweli mpaka leo siwezi kuvaa chupi mana huwa...
Habari zenu ndugu zangu:
Naombeni msaada wenu juu ya hili swala, ni kwa muda mrefu tumbo huwa linaunguruma haswa wakati wa usiku kukiwa na baridi,
lakini pia nimejigundua kila ninapomaliza kufanya tendo la ndoa tumbo huunguruma sana, hata ikiwa mchan na kama nikifanya usiku ndo kabisa mpaka mm...
Ila aliyeanzisha hii thread kwa kuyambua au kutokutambua nia yake ni kusaidia wanaomtafuta kupewa data kamili, no jukumu letu kutoa ushirikiano kama tunaoutoa sasa HV kama mtu ana nia sawa na hyo na kukaa kimya kama hautaki kutoa ushirikiano. Huo ni mtazamo wangu juu ya hii mada
Kwa hiyo ww kama mwanaume ukajitangaza ni mwanamke unataka gazeti likuriport kama mwanamke, gazeti litaandika uhalisia wako kuwa mwanaume then litasema unataka uhalisia wa kike, usilazimishe vyombo vya jabari vitudanganye eti kisa ww umedanganya ila ikitokea ikathibitika kuwa wao ndio waongo kwa...
Thread kama hizi kama zinakosa utetezi ni za kufutwa, unapoweka habari za uongo unasababisha hata habari za ukweli kudharauliwa, humu kuna watu wenye wadhfa mbalimbali wanaosaidia kulingana na wadhifa na elimu husika,
Mimi nashauri kama akishindwa kuitetea basi ni bora kufutwa
Kiuhalisia suala la kufanya mapenz kinyume na maumbile ni baya na ndo maana hata wanaofanya huwa hawapendi kujulikana kama wanafanya,
Naomba nizungumzie madhara yake kisaikolojia
Hili swala huvunja kabisa mahaba na mapenzi katika uhusiano na pia huleta utumwa, Mara nyingi hukuta mwanaume...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.