Mkewe wa ndoa kachaguliwa kuendelea na kidato cha tano.

Wonderful

JF-Expert Member
Apr 8, 2015
7,348
5,977
Salam wanabodi.
Kuna jamaa yetu mmoja alienda kuoa huko kijijini kama miaka4 iliyopita.Baada ya kufika mjini akamuona mkewe ana nia ya kusoma,akamtafutia QT ya hapo maeneo ya Akiba Dar.Binti akaanza mwaka 2014-15 akamaliza akawa kapata Dv2 na akachaguliwa kujiunga na shule ya serikali "humo humo" mjini kwenu.But kwa wakati huo akawa mjamzito na hakwenda,now anafanya mishe ili aende ata private maana kishajifungua.Sasa jamaa hana raha maana hajui itakuaje kisheria,maana ni kama vile ameoa mwanafunzi na umri wake ni miaka22 sasa.Jee sheria inasemaje juu ya hili jambo?
Nawasirisha:
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
Umeniwahi
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
yangu macho....namsubiri mtoa mada
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
Thread kama hizi kama zinakosa utetezi ni za kufutwa, unapoweka habari za uongo unasababisha hata habari za ukweli kudharauliwa, humu kuna watu wenye wadhfa mbalimbali wanaosaidia kulingana na wadhifa na elimu husika,
Mimi nashauri kama akishindwa kuitetea basi ni bora kufutwa
 
Hili jukwaa kumbe lina watu waongo waongo muno... mh mh mh. mtoa mada rudi ujibu mashambulzi sio kutudanganya wazi wazi
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
daah nimekuelewa vizuri ndugu
 
Salam wanabodi.
Kuna jamaa yetu mmoja alienda kuoa huko kijijini kama miaka4 iliyopita.Baada ya kufika mjini akamuona mkewe ana nia ya kusoma,akamtafutia QT ya hapo maeneo ya Akiba Dar.Binti akaanza mwaka 2014-15 akamaliza akawa kapata Dv2 na akachaguliwa kujiunga na shule ya serikali "humo humo" mjini kwenu.But kwa wakati huo akawa mjamzito na hakwenda,now anafanya mishe ili aende ata private maana kishajifungua.Sasa jamaa hana raha maana hajui itakuaje kisheria,maana ni kama vile ameoa mwanafunzi na umri wake ni miaka22 sasa.Jee sheria inasemaje juu ya hili jambo?
Nawasirisha:
Sijaona shida hapo! Sidhani kama kisheria huruhusiwi kuoa mwanafunzi kama umri unaruhusu. Asihofu! Hongera zake huyo mdada
 
Uzi wako una utata mkubwa sana, ngoja nikurekebishe kama ifuatavyo,
Kwanza QT maana yake ni qualification test yani wanasoma wale ambao hawakuwahi kufanya mtihani wa form two ili wapate namba za kuwawezesha kufanya mtihani wa form four(huwezi kufanya mtihani wa form four kama huna namba ya form two ambayo unaipata baada ya kufanya mtihani wa taifa wa form two hivyo basi inakulazimu kusoma QT ili upate namba).
Pili, baada ya kufanya mtihani wa QT kama umefaulu unawekewa pass ila ukifeli unawekewa failed wala hakuna division kama form four au six.
Tatu, ukipass QT unakuwa private candidate ya unarushusiwa kufanya mtihani wa taifa wa form four kama mtahiniwa asiyekuwa shule pia huwezi kuchaguliwa shule ya serikali ata kama utafaulu kwa kiasi gani mana kwa nchi yetu hakuna utaratibu wa kuwachagua private candidate shule za serikali pale wanapofaulu.
Mtoa mada njoo utuweke wazi kwa mambo haya yaliyoleta utata au unaongelea QT ya Kenya, ukishindwa omba radhi kwa kulidanganya jukwaa.
Mkuu hii hapa no ya taasisi ya watu wazima:0753567225.
Piga uliza ili uondoe utata.
But inabidi asiwe zaidi ya miaka23.
Piga no hiyo maana imebidi nitafute no yao niiweke hapa ingawa mm sijawapigia!!
 
haiwezekani private candidate kapass den achaguliwe shl z serikali
Inategemea umesoma kituo gani mkuu.
Ila ukisoma kituo cha serikali na umri wako ni chini ya miaka23 basi ukifahulu unachaguliwa serikalini pia.
 
Back
Top Bottom