Nadhani yote ni sahihi, cha muhimu jufikisha point 4 bila fail au s,eg.A & E ,B & E A etc. D D wametoa kama mfano wa kuleta point 4 ni mawazo yangu maana ni kweli hamna ufafanuzi wa kutosha
Wanaodai kuwa wenye div 1 or 2 hawaendi ualimu sio kweli labda kwa form four kwa sababu wengi wanaweka FORM 5 kuwa chaguo la kwanza,ila kwa 6 ni uamuzi wa mtu na wengi wanaenda ualimu kwa sababu kuu mbili 1.Mkopo ni 100% wachache sana wanapata pungufu ya hiyo % 2.Ajira ni ya uhakika sio ya...
Matatizo yanayofanya elimu yetu izidi kushuka ni mengi mno ukimtaja mwalimu tu mchango wake katika kushuka kwa elimu utajaza kaunter book japo chanzo kikuu ni sera na maslahi toka serikalini, Zitto kasema ukweli serikali ishindwe tu kuyafanyia kazi.
Lengo ni kusafisha nchi na serikali yake kama alivyotuahidi kama hatawavumilia wanasemekana wanahusika na kashfa flani Kitwanga kazungumziwa mno na wapinzani hadi pia zitto kaamua kufunguka mh.katekeleza ahadi haijalishi urafiki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.