Umasikini sio kitu kizuri naimani hakuna anaependa kuwa masikini kila mja anapenda kuwa na maisha mazuri but usikubali kuwa masikini kifikra sababu kuwa hivo ni kujichelewesha katika kufikia malengo yako. Mafanikio huchangiwa na mambo mengi mojawapo likiwa ni watu wanaotuzunguka wanasaidia sana...
Daah hata mimi nilikuwa hivohivo ila kuna baadhi ya njia nilizitumia mimi mwenyewe kidogo zimeniletea matokeo chanya tutasaidiana maana ni janga la vijana wengi sana na hii inaanzia toka tupo wadogo na watu waliotuzunguka wengi tunaishi kwa kukosoa sana kuliko kurekebisha mfano unakuta mtu...
Mimi nilimwaminisha na vingi sana kwanza dada angu ndo kila kitu kwangu nilimpanga nikamwambia dada kuna mtoto namuelewa ila jinsi ya kumuanza ndo kazi sasa nakupa no. Yake umcheki watsap then uwe km unamuuliza wewe ndo wifi mbona kwenye simu ya mdogo wangu umetawala sana mpaka wallpapee upo...
Swala la kujiamini linatufelisha sana kufikia malengo mfano mzuri ni mimi mwenyewe nilikuwa muoga sana kuanzia toka nilipokuwa shuleni, hata kama swali jibu lake nalifahamu sitaweza kunyoosha mkono na kujibu kutokujiamini ni kujifelisha wenyewe na wengi tunabaki na ile kauli kuwa mimi ndivo...
Kweli kabisa maana ndoto huwa ni kubwa sana ila kwa kutumia malengo tulionayo tunaweza fikia kikubwa zaidi kikubwa ni kuheshimu kila hatua tunayofikia bila kudharau ni ndogo ama kubwa coz kidogo ndo huleta kikubwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.