Akili Pesa
JF-Expert Member
- Jun 18, 2014
- 616
- 854
Wakuu hbr,
Hivi unajua kuwa binadamu hasa mwanaume hutumia AKILI KUBWA SANA wakati anapotaka kumpata mwanamke wa kuingia nae ktk mahusiano?
Lakini pia Mwanamke ni moja ya Nafasi yake ngumu ktk maisha yake pale anapotakiwa kuanzisha mahusiano na Mwanaume hupata wakati mgumu sana ingawa inategemea na mazingira na mhusika aliyemuomba kuwa nae ktk mahusiano ya kimapenzi.
Je, ni kwa vipi tunaweza kujikumbusha mbinu tulizowahi kuzitumia kumu-win mpenzi wako akaweza kukubali kuwa na wewe maishani au ktk tu mahusiano ya kimapenzi plus michepuko?
Mimi nilimuomba namba ya simu akakubali nikawa namuweka bize through chating na kumsogeza karibu sana mpaka akawa ana-feel trend ya ukaribu wangu kwake na baadae sana nikamuomba akiwa tayari siku anayofikiri yeye atakuwa yupo na furaha sana kuzidi siku zote basi aniambie na mimi nimuongezee Furaha yangu na ataijumlishia ktk moyo wake huko azidi kufurahia.
Basi alipokaa muda akaniambia jioni kuwa leo nina furaha sana nikamuambia ok tukutane somewhere nikuongezea furaha yangu niliyokupromise nikamuelekeza place nzuri akaja nikampa yote ya moyoni nilishangaa kuona na yeye akawa surprised sana akadai hakutegemea kama naweza kuwa na uwezo wa kumteka kiasi kile maana tangu nilipom-promise last time yani alijkuta akitengeneza ni ktu gani ninachotaka kumpa aweze kufurahi zaidi na wala hakufikiria hilo kabisa basi ikabidi atulie akanipa jibu zuri mpaka sasa ni My Best friend na najivunia kuwa na akili kubwa ndani ya familia yangu inshort, she is my mentor.
Karibuni tupeane tajiriba.
Hivi unajua kuwa binadamu hasa mwanaume hutumia AKILI KUBWA SANA wakati anapotaka kumpata mwanamke wa kuingia nae ktk mahusiano?
Lakini pia Mwanamke ni moja ya Nafasi yake ngumu ktk maisha yake pale anapotakiwa kuanzisha mahusiano na Mwanaume hupata wakati mgumu sana ingawa inategemea na mazingira na mhusika aliyemuomba kuwa nae ktk mahusiano ya kimapenzi.
Je, ni kwa vipi tunaweza kujikumbusha mbinu tulizowahi kuzitumia kumu-win mpenzi wako akaweza kukubali kuwa na wewe maishani au ktk tu mahusiano ya kimapenzi plus michepuko?
Mimi nilimuomba namba ya simu akakubali nikawa namuweka bize through chating na kumsogeza karibu sana mpaka akawa ana-feel trend ya ukaribu wangu kwake na baadae sana nikamuomba akiwa tayari siku anayofikiri yeye atakuwa yupo na furaha sana kuzidi siku zote basi aniambie na mimi nimuongezee Furaha yangu na ataijumlishia ktk moyo wake huko azidi kufurahia.
Basi alipokaa muda akaniambia jioni kuwa leo nina furaha sana nikamuambia ok tukutane somewhere nikuongezea furaha yangu niliyokupromise nikamuelekeza place nzuri akaja nikampa yote ya moyoni nilishangaa kuona na yeye akawa surprised sana akadai hakutegemea kama naweza kuwa na uwezo wa kumteka kiasi kile maana tangu nilipom-promise last time yani alijkuta akitengeneza ni ktu gani ninachotaka kumpa aweze kufurahi zaidi na wala hakufikiria hilo kabisa basi ikabidi atulie akanipa jibu zuri mpaka sasa ni My Best friend na najivunia kuwa na akili kubwa ndani ya familia yangu inshort, she is my mentor.
Karibuni tupeane tajiriba.