Huu ndio ukweli na hakuna nchi inayojitambua inafanya uholela huu, ila wadau wananitusi tu wakati nimetoa mtazamo.
Kwa mawazo ninayoyaona hapa, tutachukua miaka mingi sana kupiga hatua kama taifa, watu wanataka urahisi na sio usahihi, urahisi mara nyingi hauna manufaa ya muda mrefu.
Umepotezaje kazi?
Muhimu endelea kutafuta kazi maana ujuzi wako bado unauhitaji mkubwa sana... tfauta pia nje....lakini pia angalia namna unaweza kuzalisha pesa ya kuishi wakati unatafuta fursa...je unaweza kufanya kitu gani kikaingiza pesa?? Computer accessory shop from antivirus mpaka windows...
Katika jambo la kushangaza ni uholela wa stendi za mabasi ya abiria yanayofanya safari kati ya dar es salaam na mikoa mbali mbali nchini kuwa na vituo vyao binafsi tofaiti na kituo stahiki cha serikali cha magufuli kilichopo mbezi mwisho
Kwa wakazi wa dar kuanzia magomeni mpaka ubungo kuna...
Umaskini ni nini?
Kwa mfano mvuvi anaishi Kilwa au Mafia, anavua samaki wake anauza kwenye soko lao anapata pesa ya kula na kusomesha watoto wake, anaishi nyumba ndogo inayomtosha ina umeme, hana gari na wala haliihitaji kwa shughuli zake, je huyu ni maskini?? Pengine ana shamba kijijini...
Hebu soma soma kidogo ( sio shule, vitabu, majarida, documentary na makala mitandaoni), pia ukiweza safiri safiri utapata uelewa mkubwa wa mambo na dunia....utagundua kinachokusumbua ni kuwa bado una exposure ndogo.
Waige uingereza kiongozi mkuu (waziri mkuu) amechaguliwa jana, siku hiyo hiyo ameanza kazi hamna uapisho wala masherehe ya kukusanya watu, kesho yake ametangaza baraza la mawaziri na kazi zimeanza.
Hamna gharama za uapisho, mikusanyiko uwanjani, wageni wa nje n.k. pia baraza limeteuliwa ndani...
Dereva tafuta mbinu uende Qatar, Saudi, Bahrain huko ndio kazi za udereva au urudi bongo malori mengi tu yanaenda nchi jirani. Botswana nchi ya watu <3m hamna kazi nyingi za udereva.
Sidhani kama kulia tu pekee, bali ni muhimu kufanya therapy inaisaidia kukuponyesha maumivu na kuondoa msongo. Hivyo tafuta mwanasaikolojia ambae ni mtaalam wa therapy.
Wao wanajua pakuanzia, pengine bado una maumivu au kuna mambo hujayakubali itakusaidia kuunguza dukuduku na maumivu moyoni...
Ukweli mchungu qmbao unapswa kuujua
1. Thamani ya mwanaume kwwnye familia ni pesa tu.
2. Kosa pesa uone kama utathaminiwa hata kama hujastaafu.
3. Mtu akistaafu uwezo wake wa kifedha unashuka wale familia ambao ni kama kupe wanamuona hana thamani tena maana hawezi kuendelea kuwapa pesa, hili...
Kiuhalisia kama hufanyi kazi za jasho au nguvu hupaswi kupata breskfast, ikiwa utapata iwe chai kavu bila wanga. Tumuunge mkono Dr Janabi kupunguza magonjwa yasio ambukiza.
1. Kiingereza kianze kutumika kuanzia primary. Baadhi ya shule chache za serikali wameanza ila ni chache inabidi iwe nchi nzima, hii itafungua fursa kupeleka vijana wengi wanaomaliza vyuo na collegea kwenye ajira ulaya, middle east na Australia kwakuwa watakuwa wanaweza kuwasiliana vyema na...
Labda kabla ya kusoma jiulize, unataka kusoma ili iweje? Upate cheti kingine, upate ajira nyingine au ujiajiri??
NI kweli ICT inalipa kuliko ualimu hivyo sio mbaya lakini kabla ya kusoma tafakari malengo yako yapo wapi, kama nia ni kuja kusaka ajira hujakosea. Ila kama ni kuongeza ujuzi na...
1. Naweza kusema population density yao ni ndogo sana, watu 4.6 kwa kilometa ya mraba ukilinganisha na Tanzania ina watu 72 kwa kilometa ya mraba. Kimantiki ukiwa na rasilimali nyingi na mpo wachache maana yake ni matajiri lakini pia kwa upande mwingine uwezo wao wa uzalishaji upo chini. Fikiria...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.