Ukraine inahitaji kubakia kama neutral country isiwe upande wa russia au eu. Shida ni pale walipomlazimisha former president aweke sahihi mkataba na ulaya. Warusi waliingilia na kumpa mikopo pamoja na gesi kwa bei nafuu. Halafu hao magharibi wakaendesha siasa za kuanza kuhamasisha watu...
Mda nzuri sana ambayo mletaji alijipanga kwa ufasaha.
Sasa hivi naona watu wanakosa staha na kuvumiliana.
Hii nchi hatuwezi kuendelea kwa kuendekeza udini na ukabila, Mwalimu alituonya juu ya ubaguzi.
Inabidi tuweze kureason mambo na siyo kugeuza kila jambo muhimu kwenye udini. Dini zetu...
If ukraine is turned pro west, Russia will remain just a Central Asian empire but with ukraine at its western it will have more influence. Western countries simply want to curb Russia.
From a man who said the fall of Soviet empire was the greatest tragedy of 20th century, you can accept this...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.