Recent content by dukethegreat

  1. D

    Transfoma yasafirishwa kwa milioni 256!

    Daah. Kwa hyo wa milioni 256 ndo anajua kazi. Kweli maajabu hayaishi nchi hii
  2. D

    Ni maswali gani unahisi hayajibiki duniani?

    Kwanini tunatengeneza makombora na silaha nzito za kuuana na kuangamiza dunia tunayoishi wenyewe binadamu
  3. D

    Hivi Cartoons kwa watoto tu?

    Daah. Nimekumbuka Rango ana mikwara mingi. I killed two birds with one bullet
  4. D

    Ujenzi wa flyover ya TAZARA mbioni kuanza wakati wowote!

    Fly over hapo Tazara haiwezekani itabidi wabomoe majengo mengi. Waseme tu wanaweka overpass road kulingana na picha ya mchoro.
  5. D

    historians may look back and say this was the start of World War III

    Ukraine inahitaji kubakia kama neutral country isiwe upande wa russia au eu. Shida ni pale walipomlazimisha former president aweke sahihi mkataba na ulaya. Warusi waliingilia na kumpa mikopo pamoja na gesi kwa bei nafuu. Halafu hao magharibi wakaendesha siasa za kuanza kuhamasisha watu...
  6. D

    Movie Reviews

    Athena siyo muendelezo kamili ni kama spin off ya Iris
  7. D

    PS anayemtega BOSS wake

    Mmhh. Hapo hakuna ufanisi kazini
  8. D

    Black Jews of Tanzania

    Mmhh. Wachaga na uyahudi wapi na wapi.
  9. D

    Answering (or trying to) the Religion Question in Tanzania

    Mda nzuri sana ambayo mletaji alijipanga kwa ufasaha. Sasa hivi naona watu wanakosa staha na kuvumiliana. Hii nchi hatuwezi kuendelea kwa kuendekeza udini na ukabila, Mwalimu alituonya juu ya ubaguzi. Inabidi tuweze kureason mambo na siyo kugeuza kila jambo muhimu kwenye udini. Dini zetu...
  10. D

    Ni sahihi kwa Brigedia Jenerali kumlinda Rais?

    Hii ndo jf yenyewe
  11. D

    OBAMA warns RUSSIA.....

    If ukraine is turned pro west, Russia will remain just a Central Asian empire but with ukraine at its western it will have more influence. Western countries simply want to curb Russia. From a man who said the fall of Soviet empire was the greatest tragedy of 20th century, you can accept this...
  12. D

    Saudi hits back at Russia criticism on Syria arms

    Its all about geopolitics and regime changes.
Back
Top Bottom