Usilaumu ndugu
Mfano nilikuwa kwenye mahusiano ten years,, Bahati mbaya pendo likafa
Kuanzia 2016 Mpaka sasa nipo kama msela Fulani, so ni namna gani unajjtambua na utajitunza ukawa mwanamwali mwema,,
Halafu siku hizi vijana hamuoi jaman
Sasa msilaumu wanawake kuwa single for long...