2020 twende na Membe ama January Makamba?

2020 twende na Membe ama January Makamba?

Wanaojifanya wanademokrasia ndiyo wazembe, walarushwa na wezi wakubwa! Wenyewe kimya kimya huku wanatupiga tu! Wapiga Dili wakubwa!
Magufuli tu ata miaka 6000 mbele tu japo katiba haitaki nitashukuru kama nitampata Suleiman Jaffo 2025.
Unakichaa bora wapiga deal na maisha mazuri sio kama sasa... Miaka 6000 hiyo mkaishi chato.. miaka 30 tu hatoboi
 
Hahahaha wewe utakua CCM tu unatafuta confort zone, ebu subiri tumalizie miaka 7 ijayo ndio uje na mada yako hapA.
Sio kweli mkuu sina chama ila napenda democracy na maisha mazuri
 
Membe au January wanafaa kuongoza familia zao tu. Urais sio rahisirahisi kama kuchemsha chai ya rangi. Tujiheshinu na kuheshimu wengine. How dare you ask us kwamba yupi atafaa kati ya marope na Membe?
 
Unakichaa bora wapiga deal na maisha mazuri sio kama sasa... Miaka 6000 hiyo mkaishi chato.. miaka 30 tu hatoboi
Hivi unategemea maisha mazuri akuletee nani mkuu? Embu niambie toka Awamu ya kwanza hadi hii ya Tano awamu hipi ilikuwa na maisha mazuri? Unategemea huko mbele kutakuwa na maisha mazuri? unategemea huko mbele utakuja kutumia Tsh 500 kwa mlo mmoja wewe na familia yako kama enzi ya Mkapa? SAHAU HILO MJOMBA. Ninapokuambia nyosha kidole sina maana nataka urudi darsani.
 
Hata kama angengombea mbowe CCM mimi simtaki tu... iko chama kinatusumbua sana nchi hii... hata ukiwa na akili timamu ukijunga huko tu tayari ushakua kama wao sababu system inakubadiri
 
Membe au January wanafaa kuongoza familia zao tu. Urais sio rahisirahisi kama kuchemsha chai ya rangi. Tujiheshinu na kuheshimu wengine. How dare you ask us kwamba yupi atafaa kati ya marope na Membe?
Kwahiyo jiwe anafaa kuongoza ng'ombe sio kama mwana ccm mmoja alivyosemaga... Bora hao wanao weza ongoza familia coz ni binadamu... TIME FOR MEMBE OR MAKAMBA
 
Hivi unategemea maisha mazuri akuletee nani mkuu? Embu niambie toka Awamu ya kwanza hadi hii ya Tano awamu hipi ilikuwa na maisha mazuri? Unategemea huko mbele kutakuwa na maisha mazuri? unategemea huko mbele utakuja kutumia Tsh 500 kwa mlo mmoja wewe na familia yako kama enzi ya Mkapa? SAHAU HILO MJOMBA. Ninapokuambia nyosha kidole sina maana nataka urudi darsani.
Kuna kaunafauu ka maisha embu fungua ubongo wako.. kunjua mioyo ona vyama vya wakulima vinavyo waweka hoi wakulima.... Korosho,kahawa kokoa.. ni madeni tuu huko vijijini ni wakati wa soko huria na sio haya mambo ya kizamani...
 
Labda kwenye kampeni, ila kwa akili za ccm, ote watamsapoti jiwe sio membe wala january
Dah! Kweli ukiwa mfuasi wa ccm lazima kutakua na uchotwaji wa akili kidogo
 
Dah! Kweli ukiwa mfuasi wa ccm lazima kutakua na uchotwaji wa akili kidogo
Ccm sio watu wa kuwaamini hata kidogo yani huyu membe utakuta ndio yuko mstari wa mbele kusisitiza tumchague jiwe
 
Hawa wanapasa kuongoza mikoa yao tuu sio nchi
Binafsi sio mfuasi wa CCM Wala CHADEMA... Ila kwa mfumo wa nchi yetu bado kuna uwezekano mkubwa tuu CCM ikaendelea kutawala.. JF watu wenye akili kubwa nadhani hapa tayari mmejua sababu nini siwezi rudia maana yameongelewa vya kutosha..

Kwanini Membe ama January binafsi hawa jamaa nimewatathimini na kuona wanafaa kabisa wana CCM msituangushe..

Kwanza tunahitaji raisi ambaye ni mjanja mtoto wa mjini ambae anajua namna ya kuendana na kasi ya science na technology sio huyu jamaa anapenda ukoloni na kuturudisha maisha ya kizamani kama maswala ya vyama vya wakulima ilihali now day's ni soko hulia... Uza na nunua popote unapotaka dunia...

Pili chama ana nchi anaiendesha kwa mfumo wa kizamani yani wa kikoloni a kifalme kama vile nchi yake wakati anamiaka kadhaa tuu anaondoka anatuacha wananchi...mtoto wa mjini hawezi kufanya hivyo

Msemaji ni mmoja tuu nchi nzima na neno lake ni sheria huo nao ni ushamba lazima usikilize wenzio wanasema nini..

NI MAMBO MENGI YA KISHAMBA SHAMBA SIWEZI YAANDIKA YOTE NA YANATIA KINYAA.. UNAWEZA ONGEZEA HAPO..

ni wakati sasa nchi warudishiwe wajanja na watoto wa mjini... Kati ya MEMBE AMA JANUARY...

NANI UNAONA ANAFAA KUKUONGOZA KATI YA HAO WAWILI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom