Serikali mna maneno mengi sana utendaji ni zero kwenye sekta zenu zote.
Lini mtaona aibu.
Mwezi ulio pita tu hapa wananchi maeneo mbali mbali walilalamikia kuhusu ukosefu wa maji mkasingizia mvua,
Na sasa hata wiki haijaisha mvua tangu zikate maji ya dawasa hakuna mna chakusema?
Hiko kipande ni kifupi tu kutokea mwisho wa ile lami pale daraja la sgr kufika kwenye lami hapo namela,
Shida sijui nini kwa mamlaka.
Mbali zaidi barabara hiyo hiyo pia kuelekea mnadani ni mbovu wakati kila siku inaingiza ushuru kupitia mnada wa ng'ombe.
Tuendelee kuimba mapambio kwanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.