Huu ujinga umetoka na ukosefu wa Elimu kwa Wazazi kwa asilimia 70,
Wanapokua kwenye vikao wao kazi yao ni ndio mwalimu,
hawajui kujenga hoja wala kupinga hoja,
Tunawatakia masomo mema wanafunzi hao 😎😎.
Waliolalamika wakipata fursa ya kutembea Bongo wakasogea Makutano ya mitaa ya Msimbazi/Mkunguni hapa Dar watajua kumbe hawana wanalojua kuhusu maji taka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.