Recent content by Driver proffesional

  1. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania DAWASA yazidi kutekeleza agizo la kuboresha huduma kupitia visima Kisukuru

    Serikali mna maneno mengi sana utendaji ni zero kwenye sekta zenu zote. Lini mtaona aibu. Mwezi ulio pita tu hapa wananchi maeneo mbali mbali walilalamikia kuhusu ukosefu wa maji mkasingizia mvua, Na sasa hata wiki haijaisha mvua tangu zikate maji ya dawasa hakuna mna chakusema?
  2. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Pikipiki za umeme “Roam Air” kutoka Kenya, ndio mkombozi wa usafiri kipindi hiki cha mafuta bei ghali!

    Dah bongo zipo hizi nimeziona baadhi nikajua zinatokea china aisee
  3. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wahasibu watano Dar es Salaam

    😂😂😂 Namshukuru Mungu bado amenihifadhi, Na pia taaluma yangu ni udereva na sio uhasibu.
  4. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wahasibu watano Dar es Salaam

    Duh zikija kazi hazitajwi mishahara shida zikija mishahara iko wazi matatizo So wabongo nini tunataka?
  5. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Simiyu: Kisa mafuta Waendesha baiskeli za abiria maarufu kama "Daladala" wapandisha nauli kutoka Sh500 hadi Sh1,000

    Sijasoma mada ila kwa sababu mafuta ndio yanachqngia pakubwa kwenye uchumi wa karne hii wana jihami kabla maharagwe hayajaanza panda bei.
  6. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Wasifu wa Naibu Waziri wa Ajira Eveline Munisi

    Yaani alivaa sare za shule miaka minne bila kujali kama anaelewa au la!
  7. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Wahasibu watano Dar es Salaam

    Wahasibu mnaitwa kazi kwenu
  8. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Heche: Kuna vijana wanadai walitumwa kuja kufanya fujo kwenye Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso

    😊Acha baasi kaka unanigombanisha na mtaalam
  9. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania Heche: Kuna vijana wanadai walitumwa kuja kufanya fujo kwenye Kongamano la wanafunzi wa vyuo vikuu Chaso

    Hii unapewa kabisa kaka maana ukilianzisha sometimes unafikia pharmacy kabisa
  10. Driver proffesional

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya kiwanda cha Namera Gongo la mboto ni mbovu sana

    Hiko kipande ni kifupi tu kutokea mwisho wa ile lami pale daraja la sgr kufika kwenye lami hapo namela, Shida sijui nini kwa mamlaka. Mbali zaidi barabara hiyo hiyo pia kuelekea mnadani ni mbovu wakati kila siku inaingiza ushuru kupitia mnada wa ng'ombe. Tuendelee kuimba mapambio kwanza.
Back
Top Bottom