Mapenzi ya ukubwani yana shida sana !! Boss aliruka stage , somasoma wengi wanasumbua sana katika suala zima la mapenzi sababu kubwa ni kuruka stage. Sio mpaka ufanye mapenzi na mwanamke ndio uwazowee , kupiga nao story utagundua mengi yaliyojoficha katika tabia na mienendo yao kiujumla .
Hilo giza ni lipi na hiyo nuru ni ipi ???Hao wanaowatoa wenzao kutoka kwenye giza na kuwapeleka katika nuru ni watu gani hao ?? Usikurupuke na hadithi za kukariri!!!!
Mh!! Elimu bila mipaka!! Mimi ninachojua kila kitu kina mipaka!! Mungu mwenyewe ameweka mipaka, au ulimuona hana akili kukuwekea mipaka??? Kitabu chenu wenyewe kimeweka mipaka katika kila jambo au hakijaweka?? 'Freedom Without Limitation Is Nothing'. Usikariri Propaganda!!!!
Poleni na majukumu mazito mnayokabiliana nayo. Naomba msaada wa software kwa ajili ya kuflash simu tajwa hapo juu. Kuformat kwa njia ya kawaida imeshindikana , naona njia nzuri ni kutumia computer. Ahsanteni.
Mmhh!! Hawa ndio wasomi wetu!! Wanatambiana elimu zao na vyuo vikuu walipopatia elimu zao!! Ukikuta mtu anaanza kujisifia kupitia elimu yake, jiulize mara mbilimbili kuhusu ufikiri wa mtu huyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.