Recent content by DRIMAA

  1. D

    Rai ya Alphonce Mawazo kwa wana CHADEMA

    Neno lake sio sheria chama ni watu na sio yeye...yeye ni muasisi tu...na sio kila atakachosema yy ni sawa...#uneducated
  2. D

    Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Mimi naweka tu mkazo kwamba mtaji ni wazo na sio pesa nikijitolea mfano mm mwenyewe natama sana kufanya biashara nakumbuka kipindi cha nyuma kabla cjaanza kuzishika pesa nilikuwa nasema nikipata laki moja naanza biashara lakini cha ajabu saivi nashika hadi million tatu mkononi na sina biashara...
  3. D

    Ndoa za mkataba tanzania

    kurenew kupo... me nataka mwanamke wa kunizalia tu basi...miaka mi3 mkataba unaisha anasepa
  4. D

    Ndoa za mkataba tanzania

    wanawake wengi wa saivi pesa kwanza mapenzi baadae....sasa kuna haja gani ya kuwa na mwanamke huyohuyo kila siku wakati unatumia pesa kuwa nae?...y not changing them kama nguo?...me naona kuna haja ya kuwa na ndoa za mikataba hapa Tanzania
  5. D

    Nauza laptop

    2-3hrs.....chaji iko vizuriiii
  6. D

    Ushauri wenu ni muhimu

    Mulika mwizi kk...hapo unaibiwa na haoni umuhimu wako ndo maana anakwambia hataki mwanaume ila kiukweli hakutaki ww na mwanaume lazima anae
  7. D

    Sony playstation portable for sale

    psp ipo bado.....tuwasiliane kwa contacts apo juu kwa maongezi zaid
  8. D

    Makalio yananitega!

    mimi sijui na sioni umuhimu wa makalio makubwa kwenye game ila natambua na kuheshimu umuhimu wa makalio malaini kwenye game usipimeeeee!
  9. D

    Alipona Kweli

    haileweki mbona?
  10. D

    Diamond akipaka wanja!

    inafanana na mziki anaoimba
  11. D

    Diamond akipaka wanja!

    Inafanana na mziki anaoimba
  12. D

    Aibu:mke mja mzito akifumwa akila uroda kwenye kibajaji

    huyo sio mke ni malaya
  13. D

    Yale yaleeeeeee

    mh! kazi ipo
  14. D

    Wana Ifunda Tech. Sec.

    me napakumbuka MNARANI tuu
Back
Top Bottom