Suala la kodi sio la kuchekeana na kuleta siasa , KODI LAZIMA ILIPWE NA KILA MTU, serikali lazima ikusanye kodi bila kujali sur kampuni wala nani ? maana kama unataka maendeleo kodi ni lazima hakuna nchi inayojiendesha bila kodi
Hivi kama ndio UKAWA inagoza nchi kweli mngekuwa mnaruhusu kufanya lolote bila kufuata sheria .
Nadhani nyie mnataka nchi isitawalike kama mlivyoahidi na itakuwa ni ujinga kuwaacha . Subirini awamu yenu muongoze nchi isiyotawalika na isiyofuta misingi ya kisheria.
Kweli Lema akili zake ni nusu kijiko cha chai, Lema subiri wakati mtakapochukua nchi na siasa zenu za nchi isitawalike ndio ufanye ujinga unaotegemea kuufanya. Hivi huoni kuwa unawatesa watu wa Arusha kwa kuhamasisha vurugu, watalii wamekimbia kwa sababu yako, vijana wamekosa ajira kwa sababu...
Bisha kwa hoja sio kuleta matusi, Muhongo kafanya kazi hakuna asiyefahamu ukweli huo , msijifanye mmevaa miwani ya mbao wakati simu na TV na kadhalika zinategemea umeme ambao Muhongo halali usiku na mchana kuwahangaikia watanzania eti mnambeza , Jueni Mungu yupo na malipo yenu yapo kwa kulipwa...
Hivi kweli ripoti ya CAG kweli umeisoma vizuri au unazungumza usilolijua , kama ungelisoma ripoti hiyo sidhani hata ungekuwa unaandika habari hizi hapa. Kwa kifupi PAC ilihongwa kuwapotosha watanzania na haikufanya kazi kwa maslahi ya watanzania kila mtu analitambua.
Mengi anawalipa watu fedha ili wawachafue watendaji kwa manufaa yakehilo halina ubishi na kila mtanzania analitambua , ni mbinafsi wa kupitiliza, angalia historia yake amegombana na Masilingi, Malima Lowasa, na wengine wengi akijitia ni mzalendo hana lolote tunafahamu hilo.
Nadhani huna data zozote kuhusu uwekezaji wa mafuta na gas hao SWAQLA unaowasema wamechemka , tafuta data zao utaona , usikurupuke , taaluma hii haitaki porojo kabisa.
Ukweli ni kuwa Mengi halipi Annual rent za viwanja anavyomiliki vya madini , anafanya udalali wa viwanja vya madini na haviendelezi sasa akiambiwa ukweli anakuja juu, iweje tajiri mkubwa kama yeye asilipe wakati wadogo wanalipa hapa Muhongo yupo sahihi.
Mengi anatumia Media vibaya kuchafua watu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.