Wabunge wa Tanzania ni wapiga dili

Wabunge wa Tanzania ni wapiga dili

wakimataifa

JF-Expert Member
Joined
Nov 16, 2014
Posts
942
Reaction score
169
Wabunge vinara kwenye kamati ni wapiga dili la kutaka kipato chochote kwenye taasisi zenye mzunguko wa pesa. sijawai kusikia wabunge wa kamati za elimu, afya, maji, mifugo.ardhi ni vitu vinavyowabuguzi sana wananchi wao. kamati zenye kuchonga laini ni PAC tamisemi maliasili kote huko ndio wanapoona kwenye hela kwa sasa wanaiandama wizara ya nishati na madini aidha kwa shinikizo na kulazimisha kupata stafutai.

watatafuta hata kuunda majungu ili mradi wafanikiwe. Mimi minawambie hela hamtazipata kwa kuwa ni za serikali mtabakia kutuletea madhara ya chuki kati ya serikali na wanainchi hilo ni hatari sana
 
Duh, wewe ni nani mpaka uwaambie wabunge kuwa hela hawapati? Kama wameomba rushwa peleka PCCB na siyo jmiiforums
 
wabunge vinara kwenye kamati ni wapiga dili la kutaka kipato chochote kwenye taasisi zenye mzunguko wa pesa.
sijawai kusikia wabunge wa kamati za elimu, afya, maji, mifugo.ardhi ni vitu vinavyowabuguzi sana wananchi wao.
kamati zenye kuchonga laini ni PAC tamisemi maliasili kote huko ndio wanapoona kwenye hela kwa sasa wanaiandama wizara ya nishati na madini aidha kwa shinikizo na kulazimisha kupata stafutai.
watatafuta hata kuunda majungu ili mradi wafanikiwe.
mimi minawambie hela hamtazipata kwa kuwa ni za serikali mtabakia kutuletea madhara ya chuki kati ya serikali na wanainchi hilo ni hatari sana

Huu ni ukweli usiopingika , na tunayaona kabisa
 
wanasiasa wa bongo ni political entrepreneurs, ajisemea Prof. Mussa Asad (CAG)

Wabunge vinara kwenye kamati ni wapiga dili la kutaka kipato chochote kwenye taasisi zenye mzunguko wa pesa. sijawai kusikia wabunge wa kamati za elimu, afya, maji, mifugo.ardhi ni vitu vinavyowabuguzi sana wananchi wao. kamati zenye kuchonga laini ni PAC tamisemi maliasili kote huko ndio wanapoona kwenye hela kwa sasa wanaiandama wizara ya nishati na madini aidha kwa shinikizo na kulazimisha kupata stafutai.

watatafuta hata kuunda majungu ili mradi wafanikiwe. Mimi minawambie hela hamtazipata kwa kuwa ni za serikali mtabakia kutuletea madhara ya chuki kati ya serikali na wanainchi hilo ni hatari sana
 
Hata huko EALA mabo ni hayo hayo, wakati wenzetu Kenya, Uganda, Rwanda na Burudi wanapeleka Wabunge MAKINI kutetea masilahi ya nchi zao, Sisi watanzania tunapeleka wapiga dili akina Shy-Rose Bhanji! Poor Tanzanians
 
Wabunge vinara kwenye kamati ni wapiga dili la kutaka kipato chochote kwenye taasisi zenye mzunguko wa pesa. sijawai kusikia wabunge wa kamati za elimu, afya, maji, mifugo.ardhi ni vitu vinavyowabuguzi sana wananchi wao. kamati zenye kuchonga laini ni PAC tamisemi maliasili kote huko ndio wanapoona kwenye hela kwa sasa wanaiandama wizara ya nishati na madini aidha kwa shinikizo na kulazimisha kupata stafutai.

watatafuta hata kuunda majungu ili mradi wafanikiwe. Mimi minawambie hela hamtazipata kwa kuwa ni za serikali mtabakia kutuletea madhara ya chuki kati ya serikali na wanainchi hilo ni hatari sana

how old are you??
 
Siyo Wabunge peke yao bali Wanasiasa wengi wa Tanzania ni 'wapiga dili'. Hawana kipato kinachoeleweka na hawaajiriki. 'Background' zao hazieleweki na zinatia shaka (shadowy).
Ijapokuwa wabunge walioko kwenye Kamati zinazosimamia sekta zenye ukwasi wanafanya kazi lakini kuna wakati wanapitiliza 'jurisdiction' ya majukumu yao ili kupata chochote..
Wanasiasa wengi pia ni ma'opportunist' na wakikutana na yeyote kitu wanachowaza cha kwanza ni namna gani wanaweza kukutumia kwa manufaa yao.
 
mada hii ni nzito yenye ukweli100% wenye uwezo wa kuchangia ni wenye upeo wa hali ya juu kwa wale wasema hovyo hawawezi na hawana upeo
 
waache wapige dili nawe ukipewa unapiga dili tu, tanzania wote ni watu wadili, nawe ukikaa vibaya unaweza kuuzwa mzima mzima kama albino.
 
Wabunge wamepewa fursa kama hizo, kwanini wasizitumie kikamilifu ili kukidhi BRN!
 
Sio propaganda ni ukweli mtupu au wewe ni mbunge moja wao

Naona unazishambulia kamati zinazoongoza kwa kuibua ufisadi bungeni, kwa nini nisikutilie shaka kuwa wewe kama sio Maswi basi ni kibaraka wa maswi na mhongo.
 
Back
Top Bottom